Mjadala mpana wa kitaifa: Tufanye Nini ili kuisaidia Tanzania kupata katiba mpya

Elineema Mosi

JF-Expert Member
Jan 19, 2012
255
72
Nawasalimu ndugu zangu,kulalamika sio tija na hakuna manufaa kwa kulalamika.Tujadili kea mapana yake kitu gani kifanyike tumshawishi Rais yetu atupatie Katiba mpya maana ni kiu ya watu wengi nchi.
 
Viongozi wa upinzani wawe wazarendo na waache siasa uchwara...
Kwani wenyewe ndo waliharibu process yote mwishoni
 
Back
Top Bottom