kama kweli wanatutumikia
Wanatutumikia kivipi, wanatununulia maziwa ya watoto?
Wanazitumikia familia zao na matumbo yao, kama mbavyo mimi ninavyoamka asubuhi nakwenda kazini kutafuta mshahara, nalitumikia tumbo langu na familia yangu!
Mbona mimi bosi wangu hajui na hataki kujua nafika fikaje kazini? Kwa nini mimi ufanyakazi wangu hauna thamani, mimi paka?
Au mimi ni illegal immigrant hapa Tanzania kama Wa-Mexico na waruka Visa wa Marekani wanaolipwa chini ya meza hawana haki zozote kazini?
Kwa nini tunakuwa brainwashed kuwasujudia viongozi namna hii?