Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Kuna vitu mtu unashindwa kujua lengo la serikali zetu hizi, dereva anapewa leseni, anaendesha gari kwa miaka fulani kisha inachuja (expire).
Inampasa alipie kiasi fulani kisha apewe kadi (leseni) nyingine. Lengo ni kudhibiti ajali barabarani au kuongeza mapato? Kama lengo ni kuongeza mapato, je serikali haithamini uhai wa watu wake?
Na je, akishikwa barabarani kuhu ana expired license ashitakiwe kwa kwa kosa la kukwepa kodi au kwa kukiuka sheria za usalama barabarani?
But this man has big knowledge about driving. Kama lengo ni kudhibiti ajali barabarani inampaje leseni mtu ambaye hawajui kuwa ile knowledge ya awali aliifungia kabatini au aliitumia barabarani kwa kipindi chote?.
Ushauri: Mtu kabla hajalipia fedha ya Ku renew leseni yake afanyiwe test ya dk chache.
Inampasa alipie kiasi fulani kisha apewe kadi (leseni) nyingine. Lengo ni kudhibiti ajali barabarani au kuongeza mapato? Kama lengo ni kuongeza mapato, je serikali haithamini uhai wa watu wake?
Na je, akishikwa barabarani kuhu ana expired license ashitakiwe kwa kwa kosa la kukwepa kodi au kwa kukiuka sheria za usalama barabarani?
But this man has big knowledge about driving. Kama lengo ni kudhibiti ajali barabarani inampaje leseni mtu ambaye hawajui kuwa ile knowledge ya awali aliifungia kabatini au aliitumia barabarani kwa kipindi chote?.
Ushauri: Mtu kabla hajalipia fedha ya Ku renew leseni yake afanyiwe test ya dk chache.