Mjadala: Leseni inapokwisha muda wake ni sahihi dereva kuilipia kisha kupewa mpya bila kupewa mafunzo tena?

Bonde la Baraka

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
4,580
7,938
Kuna vitu mtu unashindwa kujua lengo la serikali zetu hizi, dereva anapewa leseni, anaendesha gari kwa miaka fulani kisha inachuja (expire).

Inampasa alipie kiasi fulani kisha apewe kadi (leseni) nyingine. Lengo ni kudhibiti ajali barabarani au kuongeza mapato? Kama lengo ni kuongeza mapato, je serikali haithamini uhai wa watu wake?

Na je, akishikwa barabarani kuhu ana expired license ashitakiwe kwa kwa kosa la kukwepa kodi au kwa kukiuka sheria za usalama barabarani?

But this man has big knowledge about driving. Kama lengo ni kudhibiti ajali barabarani inampaje leseni mtu ambaye hawajui kuwa ile knowledge ya awali aliifungia kabatini au aliitumia barabarani kwa kipindi chote?.

Ushauri: Mtu kabla hajalipia fedha ya Ku renew leseni yake afanyiwe test ya dk chache.
 
Kwa hiyo unafananisha udereva sawa na betri kwamba unapoendesha chombo husika ujuzi unapungua kwa hivyo inabidi ku-- recharge siyo, mi nafikiri ujuzi unaongezeka siyo kupungua
 
Kwa hiyo unafananisha udereva sawa na betri kwamba unapoendesha chombo husika ujuzi unapungua kwa hivyo inabidi ku-- recharge siyo, mi nafikiri ujuzi unaongezeka siyo kupungua
Akishikwa barabarani huku mfukoni ana expired license atapatikana na aina gani ya makosa?.
Ukipata jibu hapa, ndipo utagundua msingi wa mada yangu?
 
Akishikwa barabarani huku mfukoni ana expired license atapatikana na aina gani ya makosa?.
Ukipata jibu hapa, ndipo utagundua msingi wa mada yangu?
Atapatikana na kosa la kuendesha chombo husika bila kuwa na leseni hai,kumbuka leseni ni kibali tuu cha kukurusu kuendesha chombo husika ndio maana kinakuwa na muda maalum kama leseni ya biashara,Leseni ya Uhandisi,Udaktari nk na wala siyo kipimo cha ujuzi,kipimo cha ujuzi wa Udereva ni Cheti cha Driving School na Competency
 
Iwapo Umelipa Pesa Na Mamlaka Ndiyo Imeshindwa Kukupatia Leseni Mpya Kwa Wakati, Hapo Tatizo Ni Serikali
Darasani Unapotakiwa Kurudi Upya Huna Jipya Zaidi Isipokuwa Ni Kozi Tunasema Refresher
 
Kuna vitu mtu unashindwa kujua lengo la serikali zetu hizi, dereva anapewa leseni, anaendesha gari kwa miaka fulani kisha inachuja (expire).

Inampasa alipie kiasi fulani kisha apewe kadi (leseni) nyingine. Lengo ni kudhibiti ajali barabarani au kuongeza mapato? Kama lengo ni kuongeza mapato, je serikali haithamini uhai wa watu wake?

Na je, akishikwa barabarani kuhu ana expired license ashitakiwe kwa kwa kosa la kukwepa kodi au kwa kukiuka sheria za usalama barabarani?

But this man has big knowledge about driving. Kama lengo ni kudhibiti ajali barabarani inampaje leseni mtu ambaye hawajui kuwa ile knowledge ya awali aliifungia kabatini au aliitumia barabarani kwa kipindi chote?.

Ushauri: Mtu kabla hajalipia fedha ya Ku renew leseni yake afanyiwe test ya dk chache.
Leseni ya udereva ni ruhusa kwa dereva kutumia chumba cha moto,sio uthibitisho kwamba amehudhuria mafunzo ya udereva.Uthibitisho huo unapatikana chuoni tu.Udereva wa gari au pikipiki sio lazima ujifunzie chuoni unaweza kujifunzi nyumbani kwako au hata mtaani ukaenda kuomba leseni ya learner kisha ukafanyiwa ukaguzi na jeshi la polisi na kisha unapewa leseni yako ya kwanza.Baada ya hapo uatahitaji ukaguzi iwapo unataka kubadili daraja kwani kila daraja lina aina ya mafunzo.Baadhi ya madaraja ni lazima uwe na cheti mfano leseni yakuendesha magari ya abiria ni lazima uwe na cheti cha mafunzo kutoka chuo kinachotambulika kabla ya kupewa gari na hilo daraja husika.Hivyo basi leseni ni ruhusa ya kuingia barabarani na chombo cha moto.
 
Leseni ya udereva ni ruhusa kwa dereva kutumia chumba cha moto,sio uthibitisho kwamba amehudhuria mafunzo ya udereva.Uthibitisho huo unapatikana chuoni tu.Udereva wa gari au pikipiki sio lazima ujifunzie chuoni unaweza kujifunzi nyumbani kwako au hata mtaani ukaenda kuomba leseni ya learner kisha ukafanyiwa ukaguzi na jeshi la polisi na kisha unapewa leseni yako ya kwanza.Baada ya hapo uatahitaji ukaguzi iwapo unataka kubadili daraja kwani kila daraja lina aina ya mafunzo.Baadhi ya madaraja ni lazima uwe na cheti mfano leseni yakuendesha magari ya abiria ni lazima uwe na cheti cha mafunzo kutoka chuo kinachotambulika kabla ya kupewa gari na hilo daraja husika.Hivyo basi leseni ni ruhusa ya kuingia barabarani na chombo cha moto.
Hiyo leseni ya learner bila risiti ya chuo cha udereva huipati, labda uwe na mtu anayekufahamu TRA.
 
Atapatikana na kosa la kuendesha chombo husika bila kuwa na leseni hai,kumbuka leseni ni kibali tuu cha kukurusu kuendesha chombo husika ndio maana kinakuwa na muda maalum kama leseni ya biashara,Leseni ya Uhandisi,Udaktari nk na wala siyo kipimo cha ujuzi,kipimo cha ujuzi wa Udereva ni Cheti cha Driving School na Competency
Vipi leseni yangu ikipotea kwanini natakiwa kulipa upya? Kwanini nisiprintiwe nyingine bure maana tayari nilikua nayo na nilishailipia?
 
Maswali mengne bwana. Haya ongezea na lile takwa la madereva wa wabunge kuwa lazma wawe fomu foo wkt mabosi wao wakitakiwa wajue kusoma na kuandika tu.
 
ni chanzo cha mapato kama kitambulisho cha mjasiliamali
Kuna vitu mtu unashindwa kujua lengo la serikali zetu hizi, dereva anapewa leseni, anaendesha gari kwa miaka fulani kisha inachuja (expire).

Inampasa alipie kiasi fulani kisha apewe kadi (leseni) nyingine. Lengo ni kudhibiti ajali barabarani au kuongeza mapato? Kama lengo ni kuongeza mapato, je serikali haithamini uhai wa watu wake?

Na je, akishikwa barabarani kuhu ana expired license ashitakiwe kwa kwa kosa la kukwepa kodi au kwa kukiuka sheria za usalama barabarani?

But this man has big knowledge about driving. Kama lengo ni kudhibiti ajali barabarani inampaje leseni mtu ambaye hawajui kuwa ile knowledge ya awali aliifungia kabatini au aliitumia barabarani kwa kipindi chote?.

Ushauri: Mtu kabla hajalipia fedha ya Ku renew leseni yake afanyiwe test ya dk chache.
 
Maswali mengne bwana. Haya ongezea na lile takwa la madereva wa wabunge kuwa lazma wawe fomu foo wkt mabosi wao wakitakiwa wajue kusoma na kuandika tu.
Dereva akiona elimu yake kubwa kumzidi mbunge akagombee na yeye ubunge.
Mtu anaegombea ubunge na kushinda nizaidi ya elimu ya chuo kikuu.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Kuna vitu mtu unashindwa kujua lengo la serikali zetu hizi, dereva anapewa leseni, anaendesha gari kwa miaka fulani kisha inachuja (expire).

Inampasa alipie kiasi fulani kisha apewe kadi (leseni) nyingine. Lengo ni kudhibiti ajali barabarani au kuongeza mapato? Kama lengo ni kuongeza mapato, je serikali haithamini uhai wa watu wake?

Na je, akishikwa barabarani kuhu ana expired license ashitakiwe kwa kwa kosa la kukwepa kodi au kwa kukiuka sheria za usalama barabarani?

But this man has big knowledge about driving. Kama lengo ni kudhibiti ajali barabarani inampaje leseni mtu ambaye hawajui kuwa ile knowledge ya awali aliifungia kabatini au aliitumia barabarani kwa kipindi chote?.

Ushauri: Mtu kabla hajalipia fedha ya Ku renew leseni yake afanyiwe test ya dk chache.

Kwa nini hujashauri vyeti vya shule, diploma, degrees na hata PhD nazo ziwe zina expire?

Wewe unaona hawa kina Jiwe, manoti, kabundi, na wengi wengine vichwani kupotezwa shwari kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom