wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Kwa hiyo unakubali..
Vipi wewe yakishawahi kukukuta?
Vipi wewe yakishawahi kukukuta?
Kwa sababu ni viumbe dhaifu
Kwa sababu ni viumbe dhaifu
View attachment 1235998View attachment 1235998Hii Avatar yako huwa inanichekesha sijui kwanini tu!
hapana mkuu, ila punguza izo mishe lasivyo utapungua akili au hujui kugonga sana kunapunguza akili na kumbukumbu, na pia kupakua mitaro inaleta kansa ya vibofu
Huwa zile ni kick za wahubiri wanakuwa wamewapanga baadhi na wengine huingia kwenye mkumbo. wanaoingiwa mapepo ni wale wasio na kipato, waliopigika kisawasawa, hata hawana jinsi ya kufanya ili wamwogezee kick mhubiri ambaye mwisho wa siku anafaidi sadaka
Mimi mwenyewe ni mhuni, tena zaidi yako.
Najua vitu na mambo mengi sana zaidi yako,
mfano, jinsi ya kumfikisha shoga kileleni, unyonyaji safi kabisa wa matundu yote na mengine mengi,
Sasa unapokuja hapa na kuanza kuniambia mara ooh kalikwenda kakarudi, nakuchora tu kijana.
Mi sikuwepo nilitumwa dukani siku hiyo kupoteza ushahidiUmesahau bustani ya edeni nani aliongea na shetani?
Tatizo wanaume huwa tunawamwagia mapepo yetu.
dah kwaiyo mzee we hauoni noma kupumulia mwanaume mwenzio kisogoni, unakuta msela ana uchebe kabisa kidevuni, na kengele zake mbili, ebu acha kuzingua mkuu mademu wapo kibao ukitaka nenda afrikasana pale ni ww na teni lako tu mkomoane ila sio msela, ukifanyia ivo mtoto wa mtu basi jua na wewe wako kitamkuta kitu kama hiko hiko tu, af pia "uf.r.ji " inaleta mikosi mzee kitu kishakatazwa hadi na Mungu, samtym utaona mambo yako ayaendi ila ni kwajili ya ishu kama izo, ila sio late sana mzee acha tu na umrudie mwenyezi kwani ni Mungu mwenye huruma
nashauri tafuta andiko moja la Padri titus Amigu, alikuwa pale seminari kuu Peramiho, now yuko pale SAUT Mtwara,
Amewahi kuandika hiyo juu ya mapepo na wanawake, yuko vizuri sana. Anaichambua bibilia kama kijitaku cha kurasa 10
Ukipata majibu sahihi unitag Mkuu...
Hili nalo neno atii.
Hata mashuleni, wahanga ni wasichana
Alieongea na shetanii ni Adam au Eva me nipo kukuna kichwaa najiulizaaaa!
kuzini na asiye mke wako ni pepo hilo na ukiona mkeo ameenguka kwasababu ya pepo ujue anatoa kwa jamaa.Kwani sisi tuna mapepo?
Mwambie father Amigu atupie ka uzi humunani kasema ana kitabu? na anauza?
Yaani hata huko kwenye nyumba za ibada kwenye kuombewa kwa asilimia kubwa wengi wanaoamsha haya mapepo wanakuwa ni wanawake tuu.
Sijawahi kuona eti mtu mzima tena alovaa suti na tai yake eti anagalagala chini kaamsha mapepo hivi kuna siri gani kwenye hii jinsia ya kike kushambuliwa na hawa viumbe.