Nimesikiliza kwa makini kabisa meza ya duara na kubwa mno ambalo hata mimi naona ni mapungufu makubwa yaliyofanyika ni KUTOPELEKWA KWA WANANCHI KUJADILIWA KABLA YA KUPELEKWA BUNGENI BAADA YA KUTAFSIRIWA KWA KISWAHILI!
Issue ilikuwa wananchi pamoja na mapungufu mengine yaliyomo kwenye mswada wasingeweza kujadili na kutoa maoni yao wakati umeandikwa kwa kiingereza hivyo baada ya kufanya hivyo ulitakiwa kurudishwa kwao kwanza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.