Mjadala kuhusu asili za viongozi wetu una tija kwa Tanzania ijayo?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
539
3,507
Mjadala mkubwa umeibuka kuhusu asili za viongozi waandamizi wa sekta mbalimbali huku hoja zikianzia kwenye mwonekano wa nje wa watu. Wapo wanaofananisha baadhi ya wanafamilia wa wateule au hata wateule na nchi jirani.

Je, vetting inapofanyika huzingatia hali ya ndoa au hujikita tu kwa mteule? Kiongozi mwandamizi akiwa na mwenza mwenye nasaba na nje ya Tanzania ina athari kwa Taifa? Kwanini watu wanaotiliwa mashaka ya asili zao na uzalendo kwa Taifa inaongezeka kwa kasi?

Je, hakuna mapandikizi wasiojua kwamba wao ni mapandikizi? Dola natumai mmenielewa vizuri zaidi, nadhani fanyeni analysis ya hiki kinachotokea leo kwenye uhai wa Tanzania mwaka 2035. Kumbukeni hata yule Mkuu wa Mkoa pasipo kujua aliwahi kusababisha ndugu wa wakwe wapate huruma wasiyostahili. Tupo salama?
 
Hili jambo kama linagusa hisia za wengi. Kuna matukio yanabadili sura au approach za Kitz tulizolelewa nazo! Mfano ajira na Mishahara.
 
Hata hili la kubadilisha Majina ya Maeneo Maarufu sio utamadini wa ki Tanzania.
 
Mjadala mkubwa umeibuka kuhusu asili za viongozi waandamizi wa sekta mbalimbali huku hoja zikianzia kwenye mwonekano wa nje wa watu. Wapo wanaofananisha baadhi ya wanafamilia wa wateule au hata wateule na nchi jirani.

Je, vetting inapofanyika huzingatia hali ya ndoa au hujikita tu kwa mteule? Kiongozi mwandamizi akiwa na mwenza mwenye nasaba na nje ya Tanzania ina athari kwa Taifa? Kwanini watu wanaotiliwa mashaka ya asili zao na uzalendo kwa Taifa inaongezeka kwa kasi?

Je, hakuna mapandikizi wasiojua kwamba wao ni mapandikizi? Dola natumai mmenielewa vizuri zaidi, nadhani fanyeni analysis ya hiki kinachotokea leo kwenye uhai wa Tanzania mwaka 2035. Kumbukeni hata yule Mkuu wa Mkoa pasipo kujua aliwahi kusababisha ndugu wa wakwe wapate huruma wasiyostahili. Tupo salama?
Ukiwa hapa jf hutakiwi kufumbafumba sana,mtaje mtu ili tumjadili inavyo stahili.
 
Mjadala mkubwa umeibuka kuhusu asili za viongozi waandamizi wa sekta mbalimbali huku hoja zikianzia kwenye mwonekano wa nje wa watu. Wapo wanaofananisha baadhi ya wanafamilia wa wateule au hata wateule na nchi jirani.

Je, vetting inapofanyika huzingatia hali ya ndoa au hujikita tu kwa mteule? Kiongozi mwandamizi akiwa na mwenza mwenye nasaba na nje ya Tanzania ina athari kwa Taifa? Kwanini watu wanaotiliwa mashaka ya asili zao na uzalendo kwa Taifa inaongezeka kwa kasi?

Je, hakuna mapandikizi wasiojua kwamba wao ni mapandikizi? Dola natumai mmenielewa vizuri zaidi, nadhani fanyeni analysis ya hiki kinachotokea leo kwenye uhai wa Tanzania mwaka 2035. Kumbukeni hata yule Mkuu wa Mkoa pasipo kujua aliwahi kusababisha ndugu wa wakwe wapate huruma wasiyostahili. Tupo salama?
unataka kuficha nini... au huyo mrundi wako ndo hutaki iulikane.. shwain kweli wewe

 
Mjadala mkubwa umeibuka kuhusu asili za viongozi waandamizi wa sekta mbalimbali huku hoja zikianzia kwenye mwonekano wa nje wa watu. Wapo wanaofananisha baadhi ya wanafamilia wa wateule au hata wateule na nchi jirani.

Je, vetting inapofanyika huzingatia hali ya ndoa au hujikita tu kwa mteule? Kiongozi mwandamizi akiwa na mwenza mwenye nasaba na nje ya Tanzania ina athari kwa Taifa? Kwanini watu wanaotiliwa mashaka ya asili zao na uzalendo kwa Taifa inaongezeka kwa kasi?

Je, hakuna mapandikizi wasiojua kwamba wao ni mapandikizi? Dola natumai mmenielewa vizuri zaidi, nadhani fanyeni analysis ya hiki kinachotokea leo kwenye uhai wa Tanzania mwaka 2035. Kumbukeni hata yule Mkuu wa Mkoa pasipo kujua aliwahi kusababisha ndugu wa wakwe wapate huruma wasiyostahili. Tupo salama?
Sasa tuchague viongozi wanaotufikisha safari yetu bila kuangalia ni kabila gani na anatoka wapi. Mkenga nchi ni mwananchi na mvunja nchi ni mwananchi
 
Back
Top Bottom