Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,627
Mie nimeishia ukurasa wa 70. Nilikuwa nafukuzia demu wa Kinywaranda imebidi nisitishe aisee si kwa ukatili huu!!! Nahisi anaweza kuwa na roho kama ya KagameNipo chapter 3 Mkuu, so far unaweza kulia.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Alikuwa anamtmbea luten mmoja akiwa Marekani hadi mkewe Jannet akastukia. Unajua mkuu hiki kitabu kinavutia sana ukizigatia aliyekiandika ni Mlinzi (mtu wa karibu sana na raisi).Be specific mkuu.Hao "rafiki" zake walikuwa wa kiume au wa kike?Nataka njue.Unaweza kukuta ni gay!Who knows!
Nimefuatilia kumbe hata mwezi wa tatu Police huko UK wamemtahadhalisha Marara kuwa Kagame anamfuatilia kwa kukodi wauaji wamuue huko huko aliko.Wabhejha nkoi!Huyu Kagame ni hopeless fulani
Aisee mwamba akijimix kuingia ubalozi wa Rwanda wanaweza kum-kashogi.Nimefuatilia kumbe hata mwezi wa tatu Police huko UK wamemtahadhalisha Marara kuwa Kagame anamfuatilia kwa kukodi wauaji wamuue huko huko aliko.View attachment 1072662
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hawezi kufanya hivyo,nahisi jamaa ameamua kumwaga ugali na mboga baada ya kukwepa kifoAisee mwamba akijimix kuingia ubalozi wa Rwanda wanaweza kum-kashogi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema huyu mtu atakuja kufa kifo kibaya sana, ikiwa haya yaliozungumzwa humu ameyatenda kiukweli! Ni mtu katili mno na mara nyingi makatili hufa vifo vya fedhea sana. you live by the Gun, you die by the Gun!Dhamira zinawasuta.The guilty are afraid. Maovu yao kuanikwa.Wanaona aibu rafiki wa mjomba wao kuanikwa uhuni wake.
Inaweza kuwa propaganda tu,hakuna uthibitisho hapa kama Kagame kufanya hayo yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora usingeandika hii thread, hakuna tulichoambulia zaidi ya porojo zako tu.
Uhasama wa Kikwete na Kagame ulianza pale Kikwete alipoingilia kati uvamizi wa majeshi ya M23 huko DRC mkuu. Kagame hakupenda kwa kuwa M23 walikuwa kule wakiiba madini ya Congo ndipo Kagame akamkejeli Kikwete kuwa atamtandika. Raisi Kikwete kipindi hicho akaona hii ni dharau iliyovuka mipaka kwanza M23 ilipigwa vibaya pia akaamuru Wanyarwanda wote walioko nchi kama wahamiaji haramu waondoke nchini. Kama umeshawahi kufika mkoa wa Kagera karibia asilimia 90 ya wafugaji wakubwa ni Wanyarwanda sasa ilikuwa ng'ombe wanauzwa hadi 20,000/= ili mradi ufike Rwanda. Wengi wa hawa watu walikuwa washaondoka Rwanda miaka mingi hata mimi na wewe hatujazaliwa lkn Kikwete hakuangalia hili. Fuatilia historia au uliza anayekuzidi umri atakuambia kuhusu hili kwani isingekuwa busara majeshi yetu yangevamia RwandaNilitamani kuona umeandika kwa undani kidogo kuhusu uhasama wa Kikwete na Kagame
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo chapter 3 Mkuu, so far unaweza kulia.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Tupo mkuu