Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,382
Formula ipo mkuu,inaanza ndoa kisha tendo linafuataHakuna formula, kipi kianze
Formula ipo mkuu,inaanza ndoa kisha tendo linafuataHakuna formula, kipi kianze
Kwani we ni bikraMada kama hizi Zinapotosha
kizuri ni kufuata Kanuni na miongozo ya dini zetu
Swali gani hilo!Kwani we ni bikra
Mkuu umetumia maneno makali sana!Mkuu usijejichanganya ukaoa dem kabla haujambebesha mimba, utakuja jutia kwann upo hapa duniani. Kaka hawa watu waone tu wanatembea ila kuna magarasa hayo ww skia tu.
Niliwahi kamata garasa moja la kinyalu, aiyaaa....lina utasa na hedhi za hovyohovyo kabisa. Subamiiit, nililinyang'anya pete nikalibwaga kwa wajomba zake...aisee. Lipo apa mjin apa limejiweka mme wa mtu. Mie nshakamata mwenzie tunalea saiz.
Sjui, labda kama umeyakubali hayo.
na yanin utumie tembele wakati nyama sokoni ipoYaani upike ubwabwa bila ya kuonja chunvi?
pointiMkuu usijejichanganya ukaoa dem kabla haujambebesha mimba, utakuja jutia kwann upo hapa duniani. Kaka hawa watu waone tu wanatembea ila kuna magarasa hayo ww skia tu.
Niliwahi kamata garasa moja la kinyalu, aiyaaa....lina utasa na hedhi za hovyohovyo kabisa. Subamiiit, nililinyang'anya pete nikalibwaga kwa wajomba zake...aisee. Lipo apa mjin apa limejiweka mme wa mtu. Mie nshakamata mwenzie tunalea saiz.
Sjui, labda kama umeyakubali hayo.