Ahsante kiongozi.Chukua TVs hlx 150x hii ndio chuma nzuri na engine yake ina nguvu kuliko hlx series zote.
Kua na 4 gears or 5 gears hizi mbembwe tu.
Pikipiki nzuri tunaangalia
1. Nguvu (power)
2. Uimara
3. Speed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kiongozi.Chukua TVs hlx 150x hii ndio chuma nzuri na engine yake ina nguvu kuliko hlx series zote.
Kua na 4 gears or 5 gears hizi mbembwe tu.
Pikipiki nzuri tunaangalia
1. Nguvu (power)
2. Uimara
3. Speed
Samahani ndugu; bei zake zikoje kwa Dar?Kwan bajeti yako, na Hali ya MAZINGIRA uliyopo.
SANLG 150cc itakufaa Sana mkuu
Mpya inakua 2,300,000 Hadi 2,500,000Samahani ndugu; bei zake zikoje kwa Dar?
Ahsante kwa taarifa hii ndugu!!!Mpya inakua 2,300,000 Hadi 2,500,000
MREJESHO:Wakuu wasalaam,
Naomba kujua ni pikipiki gani imara na yenye speed ambayo itafaa kwa matumizi binafsi ya kutembelea (misele) na bodaboda kiasi....
Tunaomba picha mkuu bika picha haunogagiMREJESHO:
Wakuu wasalam.
Baada ya kupitia ushauri mbalimbali wa wadau wa jf na kwa kuzingatia budget yangu nilichukua chuma HAOJUE 125-8EX (2.35M).
Shukrani wakuu.
MREJESHO:
Wakuu wasalam.
Baada ya kupitia ushauri mbalimbali wa wadau wa jf na kwa kuzingatia budget yangu nilichukua chuma HAOJUE 125-8EX (2.35M).
Shukrani wakuu.
Nimekuelewa mkuu,nicheck Whatsapp 0765833684 tubadilishane uzoefuTVS Jamani mnajua bei ya vifaa vyake?
Ngoja niwaweke sawa ndugu zangu. Mie simpotezi mtoa Mada. Ila nampa ushauri mzuri sana. Sio lazima anunue bike ya mil 18, au mil 10.. Zipo bike mpk mil 4.. Na ni same type na specs tofaut ni imetumika muda gani na year of prod.
Nunua pikipiki hyo ya mil 2.. Utumie mwaka mmoja uje kuuza laki 9!
Pili.,Utaingia cost zisizo na maana.. Jiandae kununua spocket kila mara.. Chain drive.. Jiandae kubadir front/rear suspension kila mara..
Jiandae kukosa uhuru njiani.. Ipo wazi ukiendesh Boxer au TVS kila mtu anakuona bodaboda tu ndo hapo rafu za maksudi zinatawala.. Ukiwa na kx! Au crf kwanza mwenye crown anakupisha upite..
Pili kiuhalisia.. Hata usumbufu wa wale Tigo haukupati.. Unaingia popote mjini.. Advantage hzo! Kingine cha mwisho hz bike unaweza nunua mil 5 ukaja kuuza mil 7.. Ila tvs unanunua mil 2.5 unakuj kuuza lak 9.
Bike yangu ina mwaka saiv nabadili oil tu.... Basi.. Uliza wamilik wa Boxer au TVS maintanance cost thou ni cheap spare parts ila hazidumu.. Humaliz mwezi unafungua hiki unafunga kile.. Ukija kupga mahesabu umetumia hela nyng..
Faida ya hzo Tvs na boxer unaweza ukawa unapakia abiria njiani kufidia mafuta.. Kujipatia kipato ukiwa free!
Mwisho.. <Cheap is expensive!>
shortcut always is a longcut
Amina mkuu. Naomba Mungu sasa nikitoka kwenye pikipiki niende kwenye magari. Shukrani boss.Mungu akuongezee baraka, siku moja umiliki bike ya mkoloni, ndio utajua raha ya bike, achana na hiyo michosho ya wachina na wahindi
Tunaomba picha mkuu bika picha haunogagi
Honlg 150-4
price 2.5 mill ndo maamuzi niloamua kuyafanya kwa wiki ya pili sasa naona tofauti kubwa na yamaha 125 hiii imetulia barabarani haiyumbi (sio nyepesi ukiwa kwenye spid)
Haiumizi mgongo kwa maana spring yake haidundi sana.
breki zake ziko perfect hata ikitokea ni ghafla
iko comfortable sana katika bamsi na barabara mbovu (rough road)
kingereza changu hakijaenda shule.
ahsanteni sana
USHAURI
Kwa matumizi ya kibiashara nakushauri nenda HOUJUE.... NGUMU, MUONEKANO MZURI, INA NGUVU
KaribuLift tunapata au hatupati?
Naomba uzoefu zaid kuhusu hii bike mana nadhan ni brand au model mpya..... Nataman kupata aina hii ya bike (cc kubwa, luxurious, na imara)Honlg 150-4
price 2.5 mill ndo maamuzi niloamua kuyafanya kwa wiki ya pili sasa naona tofauti kubwa na yamaha 125 hiii imetulia barabarani haiyumbi (sio nyepesi ukiwa kwenye spid)
Haiumizi mgongo kwa maana spring yake haidundi sana.
breki zake ziko perfect hata ikitokea ni ghafla
iko comfortable sana katika bamsi na barabara mbovu (rough road)
kingereza changu hakijaenda shule.
ahsanteni sana
USHAURI
Kwa matumizi ya kibiashara nakushauri nenda HOUJUE.... NGUMU, MUONEKANO MZURI, INA NGUVU
Haina jipya zaidi ya shokapu moja ya Kati, injini ni zile zile za pikipiki za kichina hajabadili hata kitu chochote.Naomba uzoefu zaid kuhusu hii bike mana nadhan ni brand au model mpya..... Nataman kupata aina hii ya bike (cc kubwa, luxurious, na imara)
Bike nyingi zina kuja used kutoka Dubai na zinapita Zanzibar Kisha zinaletwa Bongo. Huku Dar utapata maeneo ya Magomeni Mikumi, Kinondoni na Kariakoo Kuna wapemba wanauza.Hivi hizi bike hapa bongo zinapatokana wapi
1. Ducati
2. BMW
3. Honda
4. KTM Duke
5. Kawasaki
Nataka street bike mojawapo ya hizo company ambayo ni liquid cooled and ABS hata Kama ni used in good condition nazipata wapi mkuu na badger yangu max 5M.
Tvs star hlx x150 and 5gears ni bora sana kwa zote.Pendekeza kati ya hizo walau yenye ubora kama
Ni
SANLG
FEKON
HAUJO
BOXER
KING LION
TVs KING
(YAAN HIZI ZA SISI WALALA HOI
Kiongozi natamani sana honda ace sababu ya kuwepo kwake kwa wingi hivyo vifaa vinapatikana kwa urahisi, kitu kisicho nivutia hizi pikipiki zina gear nne tu nami napenda sana yenye gear tano. Nafikiria sana kuchukua yamaha ybr125g japo siyo nyingi kama honda ila zenyewe zina gear tano. Ushauri wako tafadhaliView attachment 1474069
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU WA JFTwende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu.
Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)?
1. Boxer
2. SANLG
3. Feckon
4. TVS King
5. Hero
6. King Lion
7. Houjo
---
---
---
View attachment 1474084
BAADHI YA MAONI YALIYOTOLEWA NA WADAU WA JF
---
---
---
---
---
---