MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

MREJESHO:

Wakuu wasalam.
Baada ya kupitia ushauri mbalimbali wa wadau wa jf na kwa kuzingatia budget yangu nilichukua chuma HAOJUE 125-8EX (2.35M).
Shukrani wakuu.

Mungu akuongezee baraka, siku moja umiliki bike ya mkoloni, ndio utajua raha ya bike, achana na hiyo michosho ya wachina na wahindi
 
TVS Jamani mnajua bei ya vifaa vyake?

Ngoja niwaweke sawa ndugu zangu. Mie simpotezi mtoa Mada. Ila nampa ushauri mzuri sana. Sio lazima anunue bike ya mil 18, au mil 10.. Zipo bike mpk mil 4.. Na ni same type na specs tofaut ni imetumika muda gani na year of prod.


Nunua pikipiki hyo ya mil 2.. Utumie mwaka mmoja uje kuuza laki 9!

Pili.,Utaingia cost zisizo na maana.. Jiandae kununua spocket kila mara.. Chain drive.. Jiandae kubadir front/rear suspension kila mara..

Jiandae kukosa uhuru njiani.. Ipo wazi ukiendesh Boxer au TVS kila mtu anakuona bodaboda tu ndo hapo rafu za maksudi zinatawala.. Ukiwa na kx! Au crf kwanza mwenye crown anakupisha upite..

Pili kiuhalisia.. Hata usumbufu wa wale Tigo haukupati.. Unaingia popote mjini.. Advantage hzo! Kingine cha mwisho hz bike unaweza nunua mil 5 ukaja kuuza mil 7.. Ila tvs unanunua mil 2.5 unakuj kuuza lak 9.

Bike yangu ina mwaka saiv nabadili oil tu.... Basi.. Uliza wamilik wa Boxer au TVS maintanance cost thou ni cheap spare parts ila hazidumu.. Humaliz mwezi unafungua hiki unafunga kile.. Ukija kupga mahesabu umetumia hela nyng..

Faida ya hzo Tvs na boxer unaweza ukawa unapakia abiria njiani kufidia mafuta.. Kujipatia kipato ukiwa free!

Mwisho.. <Cheap is expensive!>

shortcut always is a longcut
Nimekuelewa mkuu,nicheck Whatsapp 0765833684 tubadilishane uzoefu
 
Tunaomba picha mkuu bika picha ha
Screenshot_20201108-155909.png
unogagi
 
Honlg 150-4
price 2.5 mill ndo maamuzi niloamua kuyafanya kwa wiki ya pili sasa naona tofauti kubwa na yamaha 125 hiii imetulia barabarani haiyumbi (sio nyepesi ukiwa kwenye spid)

Haiumizi mgongo kwa maana spring yake haidundi sana.

breki zake ziko perfect hata ikitokea ni ghafla

iko comfortable sana katika bamsi na barabara mbovu (rough road)
kingereza changu hakijaenda shule.

ahsanteni sana

USHAURI
Kwa matumizi ya kibiashara nakushauri nenda HOUJUE.... NGUMU, MUONEKANO MZURI, INA NGUVU
 

Attachments

  • IMG_20210102_191026.jpg
    IMG_20210102_191026.jpg
    402.3 KB · Views: 120
Lift tunapata au hatupati?
Honlg 150-4
price 2.5 mill ndo maamuzi niloamua kuyafanya kwa wiki ya pili sasa naona tofauti kubwa na yamaha 125 hiii imetulia barabarani haiyumbi (sio nyepesi ukiwa kwenye spid)

Haiumizi mgongo kwa maana spring yake haidundi sana.

breki zake ziko perfect hata ikitokea ni ghafla

iko comfortable sana katika bamsi na barabara mbovu (rough road)
kingereza changu hakijaenda shule.

ahsanteni sana

USHAURI
Kwa matumizi ya kibiashara nakushauri nenda HOUJUE.... NGUMU, MUONEKANO MZURI, INA NGUVU
 
Honlg 150-4
price 2.5 mill ndo maamuzi niloamua kuyafanya kwa wiki ya pili sasa naona tofauti kubwa na yamaha 125 hiii imetulia barabarani haiyumbi (sio nyepesi ukiwa kwenye spid)

Haiumizi mgongo kwa maana spring yake haidundi sana.

breki zake ziko perfect hata ikitokea ni ghafla

iko comfortable sana katika bamsi na barabara mbovu (rough road)
kingereza changu hakijaenda shule.

ahsanteni sana

USHAURI
Kwa matumizi ya kibiashara nakushauri nenda HOUJUE.... NGUMU, MUONEKANO MZURI, INA NGUVU
Naomba uzoefu zaid kuhusu hii bike mana nadhan ni brand au model mpya..... Nataman kupata aina hii ya bike (cc kubwa, luxurious, na imara)
 
Hivi hizi bike hapa bongo zinapatokana wapi
1. Ducati
2. BMW
3. Honda
4. KTM Duke
5. Kawasaki

Nataka street bike mojawapo ya hizo company ambayo ni liquid cooled and ABS hata Kama ni used in good condition nazipata wapi mkuu na badger yangu max 5M.
 
Naomba uzoefu zaid kuhusu hii bike mana nadhan ni brand au model mpya..... Nataman kupata aina hii ya bike (cc kubwa, luxurious, na imara)
Haina jipya zaidi ya shokapu moja ya Kati, injini ni zile zile za pikipiki za kichina hajabadili hata kitu chochote.

Bike za kichina tunazoletewa huku ni za kibiashara na hazina ubora mkubwa. Kama unaweza agiza moja Kwa moja China Kuna bike kubwa za 400cc na ni liquid cooled,zina ABS.

Kama unataka bike imara na luxurious nenda Kwa wajapani Honda CRF 125/150, Yamaha YZ 125/250 au Kawasaki KX 125.
 
Hivi hizi bike hapa bongo zinapatokana wapi
1. Ducati
2. BMW
3. Honda
4. KTM Duke
5. Kawasaki

Nataka street bike mojawapo ya hizo company ambayo ni liquid cooled and ABS hata Kama ni used in good condition nazipata wapi mkuu na badger yangu max 5M.
Bike nyingi zina kuja used kutoka Dubai na zinapita Zanzibar Kisha zinaletwa Bongo. Huku Dar utapata maeneo ya Magomeni Mikumi, Kinondoni na Kariakoo Kuna wapemba wanauza.

Kwa Dau lako unaweza kupata Honda CBR au CB,KTM za 500cc kushuka. Pia wacheki Mateline Dubai huwa wanazileta na kuuza bei ya kucheka.

 
Unaifahamu yahama ybr125 ? Nataka kuichukua hiyo, kwa sasa ninamiliki boxer ila naona si imara sana kama hiyo yamaha. Naomba ushauri wako
 
View attachment 1474069
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU WA JF
Twende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu.

Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)?
1. Boxer
2. SANLG
3. Feckon
4. TVS King
5. Hero
6. King Lion
7. Houjo
---

---

---



View attachment 1474084

BAADHI YA MAONI YALIYOTOLEWA NA WADAU WA JF

---

---

---

---

---

---
Kiongozi natamani sana honda ace sababu ya kuwepo kwake kwa wingi hivyo vifaa vinapatikana kwa urahisi, kitu kisicho nivutia hizi pikipiki zina gear nne tu nami napenda sana yenye gear tano. Nafikiria sana kuchukua yamaha ybr125g japo siyo nyingi kama honda ila zenyewe zina gear tano. Ushauri wako tafadhali
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom