S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,615
- 32,712
Sasa hapa umetoa ushauri au umekuja kuchamba?Boxer ndio no 1 halafu inafatia Tvs na hizo takataka zingine
Uwe unavaa na dera kabisa
Sasa hapa umetoa ushauri au umekuja kuchamba?Boxer ndio no 1 halafu inafatia Tvs na hizo takataka zingine
Hiyo nilitaka kuchukua sababu ya ulaji mzuri wa mafuta lakini nimeghairi, naona bora yamaha ybr125g angalau ile ni kubwa kidogoView attachment 1474069
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU WA JFTwende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu....
Yamaha ipi hiyo mkuu? Mimi natamani kutumia Yamaha ybr125gMm natumia Yamaha ndo sabuni ya roho
Tu
Anayemiliki takataka na yeye ni takataka jitathiminiSasa hapa umetoa ushauri au umekuja kuchamba?
Uwe unavaa na dera kabisa
Pikipiki nzuri sana hyo,Unaifahamu yahama ybr125 ? Nataka kuichukua hiyo, kwa sasa ninamiliki boxer ila naona si imara sana kama hiyo yamaha. Naomba ushauri wako
Asante kiongoziPikipiki nzuri sana hyo,
Tatizo lake haina nguvu unapopanda mlima, au ukibeba mzigo mkubwa....
Tvs kweli nimeitumia kwa miaka isiyopingua 6 ila kikibwa naweza sema ni pikipiki nzuri lakini inahitaji matunzo ili uifurahie mno....kikubwa ukiwa makini na service utatembea nayo siku zote.TVS kwa sasa hakuna mpinzani
Service kama zipi, nataka kuwekeza especially kwa hii tvs.?Tvs kweli nimeitumia kwa miaka isiyopingua 6 ila kikibwa naweza sema ni pikipiki nzuri lakini inahitaji matunzo ili uifurahie mno....kikubwa ukiwa makini na service utatembea nayo siku zote.
Upo sahihi kabisaTVS kwa sasa hakuna mpinzani
TVS ni Bora kuliko Boxer mkuu???Upo sahihi kabisa
Hii ilikuwa mwaka 2018 lakini leo 2020/21 Naongeza Haojue baada ya kujiridhisha pasi na Shaka, kwahivyo kauli yangu kwa sasa ni..!Upo sahihi kabisa
View attachment 1784817
Wakuu, habarini asee! Ndugu yenu mwalimu nataka kununua hii inisaidie na harakati za huku Mpanda vijijini, naombeni kujua gharama yake.
Tafadhar msinishauri kuhusu sunlg. Asanten Mungu awape baraka.