Smiling killer
JF-Expert Member
- May 1, 2018
- 1,291
- 1,119
Siyo sahihi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Goodluck amefata ya wenye dhambi?Alikaa na wenye dhambi lakini hakufuata ya wenye dhambi...
Amani iwe nanyi nyote.
Nimeona clip ikimuonyesha muimbaji wa nyimbo za injili mchini, Goodluck Gozbert akitumbuiza kwenye tamasha la Tigo Fiesta huko Mwanza. Nimeshangaa na kujiuliza maswali;
i/Mtumbuizaji anaelewa maudhui ya tamasha lile?
ii/Waandaaji walifikiria nini kumleta muimbaji wa nyimbo za injili kwenye tamasha linalokutanisha watu wa imani tofauti tofauti?
iii/Je, kilichofanyika ni halali kidini na kijamii pia?
Karibuni tujadili na kueleweshana pale pasipoeleweka.
Nawasilisha.
Very Stupid..Ile ni sehemu ya burudani, watu walienda kuburudika pale sio kuhubiriwa... kwa lugha rahisi yenye alienda kuburudisha waliofika pale ndio maana alitumbuiza mpaka na viuno alikata ili watu wafurahi.
Walibarikiwa na viuno alivyokuwa anakata stejini?
Hawana nyimbo mpya mi naona msanii GG anaimba nyimbo za uhamasishaji sio za kiinjili kivile maana anatunga hao ulio wataja.wanahamisha mistari kutoka ktk Bible ndio maana wakristu ni wanafki kwa mwenzao GG eti ni kidunia sasa sijui wao ni wa kimbinguniVipi rose mhando, mwaitege, mwaipaja hawapo fiest mwaka huu???
Naona clous wameishiwa wameanza kuweka kwaya fiesta
Hakutuma maombi watu wa mikoa husika ndio wanamuita na ameitwa akatae????! MwacheniMkuu, jamaa alituma maombi mwen
yewe akashindanishwa na waombaji wengin
e, akashinda.
Kwa hiyo kama kitu hakimtii hatia moyoni
muhusika na hakivunji sheria ya nchi, wacha
afanye kwa utashi wake.
Kwani goodluck anafata mambo yao? Yeye anaimba anasepa chunguzaAlikaa na wenye dhambi lakini hakufuata
ya wenye dhambi...
Ukiangalia ile show watu woote wanaitikia tena wanashangilia vibaya mno kama na wewe ni mkristo acheni kuogopaogopa jamaa yupo sahihii kabisa tatizo wengi wenu vichwa vigumu kuelewa ila mtakuja kuelewaInaweza ikawa sahihi, lakini huoni kama
wale waliokuwa dini tofauti walikwazika au
pengine walidharau dini ya mtumbuizaji?
Huyo nae mchumia tumbo tu hakuna jingineAmani iwe nanyi nyote.
Nimeona clip ikimuonyesha muimbaji wa nyimbo za injili mchini, Goodluck Gozbert akitumbuiza kwenye tamasha la Tigo Fiesta huko Mwanza. Nimeshangaa na kujiuliza maswali;
i/Mtumbuizaji anaelewa maudhui ya tamasha lile?
ii/Waandaaji walifikiria nini kumleta muimbaji wa nyimbo za injili kwenye tamasha linalokutanisha watu wa imani tofauti tofauti?
iii/Je, kilichofanyika ni halali kidini na kijamii pia?
Karibuni tujadili na kueleweshana pale pasipoeleweka.
Nawasilisha.
Yaani watu wanabarikiwa sababu ya huyo goodluck?? Hivi unajua pia huyu jamaa ni choko?Kwani alifata? Unajua ni wangap walibarikiwa kwa yeye kupanda stegini?
Kwani alikuwa anahuiri au anaburudisha? Hebu lete tofautiKaka jamaa yuko sahihi kabisa. Neno la Mungu linahubiriwa popote pale bila mipaka ili kuwarudisha kundini waliopotea kwa anasa and etc.