Huyu demu kichwa kina kupwa na kujaa haaa post anazutuma yeye humu anaonekana mtu fulani asiyeweza kukaa na jambo bila kusema watu wafahamu nashangaa kwel
Inategemea ni siri zipi,kama eti hajui kunjunjana,ana kiharufu fulani,hana tako,ana mimaji n.k hzo sio ila kama ni mdangaji na ushahidi unao unamwagika tu,kama mbwai mbwai tu ya nini kukaa na mistress wakati nikiitoa ndio napata relief
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.