Bin Chuma75
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 990
- 1,040
Ni PM bhasi tuwasiliane
kama laki tuu mkuu
LEGE nakupata vipi kwa ajili ya kunifungia hiyo camshaft sensor ya X Trail ya mwala 2004? Tafadhali nitumie sms kwenye 0787664135laki moja nakukufungia kila kitu mpaka kuiflush namashine
LEGE nakupata vipi kwa ajili ya kunifungia hiyo camshaft sensor ya X Trail ya mwala 2004? Tafadhali nitumie sms kwenye 0754442282
LEGE unapatikana wapi?kuiflush
Chukua noah townace super extra Limo,Msaada katika magari aya.
Toyota Noah exhurb toyota noah super. Ipi ni imara sana kwa shughuli za apa na pale.
naambiwa ugonjwa wake mkubwa ni kuchanganya oil na maji
Nissan X trial gari ya kitajirii sana, sio ya kipato cha ChiniUsipeleke gari service vichochoroni,,,peleka kwa dealers ambao wamekuwa authorised na Nissan kwan ndo wanayajua magari vema. Ukipeleka kichochoroni unapigwa oil fake unaendesha wiki mbili then autoparts zina kuwa useless. Tuache janja janja ya kukwepa gharama.
Duu we jamaa jasiri sana.gari inazima kwene mwendo bado unasonga nalo. Nashaur ulitengeneze kwanza na ujiridhishe liko sawasawa.Mkuu mi Nissan yangu inasleep ikiwa kwenye mwendo lakini ukitoa D halafu ukiweka kwenye N ukizima gari na kuwasha ukurudisha D inapokea vizuri lakini baada ya mwendo tena inajirudia, tatizo linaweza kuwa nini kwa kuanzia mkuu