Kazetela
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,714
- 1,618
Hapana inawezekana huna maarifa ya kutosha samahani lakini.Ninavyojua Mimi unalipwa kulingana na matangazo yatakayopita kwenye video zako
Hapana inawezekana huna maarifa ya kutosha samahani lakini.Ninavyojua Mimi unalipwa kulingana na matangazo yatakayopita kwenye video zako
Bila samahani... Rejea kichwa Cha habari hapo justHapana inawezekana huna maarifa ya kutosha samahani lakini.
Kafanye utafiti kidogo uje na mada iloshibaNinavyojua Mimi unalipwa kulingana na matangazo yatakayopita kwenye video zako
Kwamba Youtube wanamuomba content creator wamuwekee tangazo?
Ninachofahamu youtuber(mmiliki wa channel) kama anahitaji video za channel yake ziwe monetized anapaswa kuomba akaunti ya adsense yaani kuomba YouTube Partner Program baada ya kutimiza vigezo adsense ikikubaliwa matangazo ndio yataonekana kwenye videos.
YouTube baada ya kuona malipo yao sio makubwa kiivyo hasa kwa wasanii ukilinganisha na idadi ya watazamaji, wameamua waanzishe mfumo wa Channel Membership(member hulipa kila mwezi) ambapo member wanaolipa wanaona vitu vingine na videos ambazo hazionekani kwa wasiolipia. Japo hii feature kwa Tanzania haipo ila Uganda ipo.
Kwa hiyo siku hizi sio lazima kutegemea matangazo kupata pesa youtube kwa baadhi ya nchi.
Sijakuelewa. Umri wa nini.Mkuu sijui kama wamebadilisha sasa hivi ila nilikuwa naangalia sana hizo video na wanachoangalia ni confirmation ya umri wako
Alipwi, hapo ndo ugumu wa kupiga pesa youtube unapokuja!Kama umefungua video na Tangazo limeanza kuonekana then ukaskip add kabla hujaona Au hujalimaliza. Je Bado huyo msanii etc atalipwa ?
Itakuwa amechanganya madawa!Sijakuelewa. Umri wa nini.
mwenye video hatapata kitu kama hajaruhusu matangazo, ila anaweza kujiongeza, mfano unaweza kuweka video ukichambua sifa za simu flani alafu ukaelekeza duka la kununua, hapo ikiwa duka ni lako utafaidika ila hata ukiwa dalali waweza pewa commision na mwenye dukaKwamba video ikiwa na viewers wengi kama haina tangazo hakuna faida anayofaidika Mwenye video?
ni kweli kabisaKama umefungua video na ukaskip analipwa kama kawaida ila pesa inakua ndogo atalipwa kwa mfumo wa PPM (pay per impressions) ila ili donge liwe kubwa unatakiwa uCLICK tangazo uksitazame ndo atapewa pesa nyng yaan PPC(pay per click). Ndio maana weng waTz wanaofanya blogging au affiliate marketing wanatarget sana viewers wa nje.
Hiyo ni njia ndogo sana ambayo YouTube anaingiza hela ila kikubwa anachofanya anaongea na makampuni Mama ya mitandao ya simu kama Vodafone, Bharti Airtel, At&T yale giants mobile operator then wanauza bundle mfano umenunua bundle ya 1,000 ume stream YouTube katika 1,000 yako YouTube wana percent yao pale