WhyMtu anayeweza kupiga puchu bao zaidi ya moja huyo siyo mtu wa kawaida.
Anyway, tafuta kazi ya kuishona non stop.
Kupiga kila muda hadi darasani wee ilikuathiri sana.
Jamani mimi niko na 18 years hapa Dar, tafadhali wakuu kama kuna mtu mwenye njia zitakazo nisaidia wala sio dawa maana mficha maradhi kifo humuumbua nasubiri majibu ndugu zangu.
Duuuh pole mkuu unaweza share nasi mateso yake?
Usipende kukaa peke ako Hasa chumbani muda mrefu pasipo kua na Kazi yeyote , kukaa peke ako huku ukiangalia mapicha Ya x , acha hiyo tabia mara moja , maana hizo tabia hupelekea sana watu kujichuaWakuuu nimekuja na id hii mpya japo mm humu ni mzoefu kuleta tatizo langu yaan punyeto ni shida kwangu hua naweza kuvumilia wiki tuu ikipita narudi na kasi yote. Bua siifurahii ila akili inanishinikiza kufanya hua najitahidi sana nisipige kila siku ila nikivumilia sana wiki mbili nikija kupiga napiga siku mbili mfululizo kila siku bao 2 au 1....
Ubaya wa punyeto ukiwa mwanafunzi utaanza kusahau ulivyovisoma pia attention na jambo lolote inapungua huwezi concentrate kitu 100%...i have been there ila ilinisaidia kutojali mambo ya dunia maana nikipiga tu napata usingizi mzito sana,i forget everythingNipo nachek X daah!
Inatokea ukiwa hujachakata demu vizuri,demu akikupata bao nne au tano hamu ya nyeto inakata siku mbili ila manzi akupe bao mbili au tatu kwangu si kitu nitapiga nyeto bao mbili au moja...I'm so high,nina nguvu nyingi za kiume nyeto izipunguze kidogotatzo la haka kamchezo hata kama umemgaragaza dem wako goli 3 akiondoka ukikumbuka tu lazima usogelee bby care ilipo ujichukulie shelia mkonon tena
Umri wako tafadhali!Wakuuu nimekuja na id hii mpya japo mm humu ni mzoefu kuleta tatizo langu yaan punyeto ni shida kwangu hua naweza kuvumilia wiki tuu ikipita narudi na kasi yote. Huwa siifurahii ila akili inanishinikiza kufanya hua najitahidi sana nisipige kila siku ila nikivumilia sana wiki mbili nikija kupiga napiga siku mbili mfululizo kila siku bao 2 au 1.
Hua sizidi apo nakaaa wiki mbili au moja narudi hua inanikera hasa nikiwa nachat na demu wangu namwambia siku nikija ntakuchapa mpk basi naogopa kwenda kuaibika siku za siku na kuonekana si chochote wala sina maajabu kwa sasa sioni dalili yeyote ya madhara tokea nianze kupiga na nimesoma visa vingi tuu vya madhara na jinsi ya kuacha huu mchezo.
Jamani mimi niko na 18 years hapa Dar, tafadhali wakuu kama kuna mtu mwenye njia zitakazo nisaidia wala sio dawa maana mficha maradhi kifo humuumbua nasubiri majibu ndugu zangu.
Ahahahahahaha. Mkuu usije mtia mimba namba 3 uyooo
Mh mkuu ukiwa unayajuanmadhara japo una ila kujikinga muhimuPunyeto ni dhambi, lakini hili la kukosa kujiamini uwapo kwa kuta nne nani kasema?
Mkuu hapo nimetaja nina 18Umri wako tafadhali!
Umri wako ongezea na miaka minne juu, nipo chamani. Mwaka wa 22 huu.
Saawamkuu nmekupatAcha kuangalia porn! Ukiacha kuangalia porn basi jishughulishe na ujichanganye na watu muda wote usikae peke yako! Tafuta addiction nyingine kama Mziki, Mpira, Movie ukishazamia huko basi ukiboreka tu fanya starehe nyingine tofauti na kuangalia mipunga! Maana kuangalia porn huwa inakuja pale unapoboreka na unapotamani zigo la mtu unaona kwanini ujibane wakati kono unalo! Sasa acha Porn, usikae kizembe, tafuta Demu Umle