Mjadala: Je, ngono ni hitaji muhimu (basic need) au tunajiendekeza tu?

tpaul

JF-Expert Member
Feb 3, 2008
21,810
18,241
Nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda mrefu na kwa sauti kubwa bila majibu yoyote. Hivi kuhondomola ni hitaji muhimu la binadamu au watu tunajiendekeza tu? Kwani ku-du ni lazima?

Nauliza hivi kwa sababu kuna makundi ya watu kwenye jamii ambao hawafanyi ngono lakini maisha yao yako freshi tu. Tuchukulie kwa mfano mapadri na watawa ambao hawafanyi ngono maisha yao yote. Mbona wako poa tu?

Black-couple-kissingURBAN-GYAL.jpg


Kuna baadhi ya wanaume (mimi nikiwemo) haipiti wiki moja bila kuzamisha mashine zao kunako papuchi; hata kama ukiamua kujilazimisha, mwili hukataa kabisa. Sina uhakika wanawake wanaweza kusurvive kwa siku ngapi pasipo kudinywa lakini uzoefu unaonyesha nao pia huhitaji kupachikwa mashine mara kwa mara ili wakae sawa. Ndio maana wanafunzi wa kike wanaoishi mabwenini huku wakifungiwa ndani bila kuruhusiwa kutoka nje ya shule au chuo kuna kipndi huehuka na ku-behave kama watu waliopandisha mapepo; na wakiruhusiwa kutoka nje na kujumuika na “boy friends” wao huko down town “mapepo” yao huisha mara moja.

Wanawake mliomo humu mtatupa uzoefu wenu. Kuna mtaalam mmoja aliwahi kuniambia kwamba wasichana na wanawake wanaweza kukaa muda mrefu zaidi pasipo kushiriki tendo ukilinganisha na wanaume. Ngoja tusiandikie mate wakati wino upo. Kwa kuwa tunao ke wa kutosha humu ndani, ni matumaini yangu kwamba mtatupa uzoefu wenu. Je, mwanamke ana uwezo wa kusurvive kwa muda gani pasipo kunyooshwa viungo? Je, wanaume mnaweza kukaa (maximum) siku ngapi bila kuhondomola? Na je, kuna ushahidi wowote unaoonesha kwamba mwanadamu asipohondomola atatudhurika (kiafya, kisaikolojia, etc)? Hebu tupeane uzoefu.

Nawasilisha.
 
Kimaumbile mwanaume ana nguvu nyingi katika sex kuliko mwanamke ndo maana wao hawawezi vumilia muda mrefu kukosa ngono km sisi

Watawa na mapadri hauishi nao usiwasemee aisee kwa navyozijua nyege labda km wanaasiwa
Inawezekana hawapandani lkn wakajichua na kwa upande wa masista wasiharibu bikira zao na bado akakojoa
Mapadri hao wanagonga sana mpk kugeuzana nyuma na mpk kanisa linataka kuruhusu wawe wanaoa hiyo ni dhahiri wanato..ba

Upande wangu mimi uvumilivu bila dudu ni miezi mitatu mwisho ikiwezekana kila wiki nipandwe mechi kali hakika itapendeza
 
Kuna padre wa kanisa jirn na home kwetu huko , jamaaa alikua anakunywa pombe + kutia mademu balaa baadae aliamishwa sijui yuko wapi.


Kwasababu ya tama ya mwili kila mwanamme awe na mwanamke wake mwenyewe .....haya nimaandiko ya biblia .... Hii inaonyesha hili suala hata mbingu zilituruhusu .

Useme wanadamu tunanjunjana sanaaaa yaan mpaka sex imekua tasteless
 
Kuna baadhi ya wanaume (mimi nikiwemo) haipiti wiki moja bila kuloweka mashine zao kunako papuchi


Jibu unalo mwenyewe
Mkuu hapa nimejisemea mm binafsi. Tusubiri wengine nao tusikie wanahimilije hili tatizo.
 
Mi namgegeda Da Mange,Wema,Jokate,Hamisa,Rihanna,Beyonce,Nickminaj kwa kutumia mkono na sabuni daily lazima niwagegede hawa watu

Hahaha, really! You made my day! Yaani nimecheka kinyama..! Uuwiiiii, hizi sigara kali zenu zinatuvunja mbavu. Poa sana mkuu nimetanua mapafu aise
 
Kimaumbile mwanaume ana nguvu nyingi katika sex kuliko mwanamke ndo maana wao hawawezi vumilia muda mrefu kukosa ngono km sisi

Watawa na mapadri hauishi nao usiwasemee aisee kwa navyozijua nyege labda km wanaasiwa
Inawezekana hawapandani lkn wakajichua na kwa upande wa masista wasiharibu bikira zao na bado akakojoa
Mapadri hao wanagonga sana mpk kugeuzana nyuma na mpk kanisa linataka kuruhusu wawe wanaoa hiyo ni dhahiri wanato..ba

Upande wangu mimi uvumilivu bila dudu ni miezi mitatu mwisho ikiwezekana kila wiki nipandwe mechi kali hakika itapendeza
Haya bi dada. Ikipita miezi 3 bila dudu kuchomekwa kunako papuchi yako unajisikiaje? Je, unaweza kupatwa na wet dreams?
 
Kuna padre wa kanisa jirn na home kwetu huko , jamaaa alikua anakunywa pombe + kutia mademu balaa baadae aliamishwa sijui yuko wapi.


Kwasababu ya tama ya mwili kila mwanamme awe na mwanamke wake mwenyewe .....haya nimaandiko ya biblia .... Hii inaonyesha hili suala hata mbingu zilituruhusu .

Useme wanadamu tunanjunjana sanaaaa yaan mpaka sex imekua tasteless
Nakumbuka kuna mtawa mmoja alikuwa akitwangwa miti kisawasawa na rafiki yangu ila baadae aliachana na utawa akarejea uraiani....nadhani uvumilivu ulimshinda.
 
Kimaumbile mwanaume ana nguvu nyingi katika sex kuliko mwanamke ndo maana wao hawawezi vumilia muda mrefu kukosa ngono km sisi

Watawa na mapadri hauishi nao usiwasemee aisee kwa navyozijua nyege labda km wanaasiwa
Inawezekana hawapandani lkn wakajichua na kwa upande wa masista wasiharibu bikira zao na bado akakojoa
Mapadri hao wanagonga sana mpk kugeuzana nyuma na mpk kanisa linataka kuruhusu wawe wanaoa hiyo ni dhahiri wanato..ba

Upande wangu mimi uvumilivu bila dudu ni miezi mitatu mwisho ikiwezekana kila wiki nipandwe mechi kali hakika itapendeza
Haki ya nani kazi ipoo
 
Nchi zoote ambazo wana law sex rate wana pata maendeleo sana ya kijamii. Nchi zetu za kiafrika tunaendekeza sana haka ka mchezo. May be kwa kuwa tuko idle sana mara nyingi, sasa kama Tanzania ni nchi isyo na furaha, lakini kwenye ufanyaji wa ngono ipo vzuri tuu.
Basic human needs are those needs ambazo binadamu yafaa apate ili ku survive, you dont need sex to survive ni kujiendekeza zaidi ndio shida.
 
Back
Top Bottom