ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,232
- 88,583
Kweli kivipi Mbiti?ni kwli tupu hyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kivipi Mbiti?ni kwli tupu hyo!
Wewe kuchinja kuku hujawahi?Duuuh
Hahahaaaaaaakuna siku nilizama nikatoka kama simba aliyekamata nyati.
Hapana mbona kuna siku nyingi tu zipo za kufanya.Wewe kuchinja kuku hujawahi?
Ipo siku utakuja tengua kauliInasikitisha sana kwa nyege gani jaman hata vinyaa hawana Mungu anisamehe tu huo ujinga siwezi fanya hata iwe vipi
Mkuu mpaka umri huu niliofikia sitakuja kufanya hiko kitu kabisa Mungu ananisikia kabisa
Maana ya hedhi kwanza ni yai la mwanamke linatoka kwenye kizazi likiwa limejivunja vunja kama uchafu ndo maana linakuja na dam so hua lichukua siku 3-5 kuisha kabsaSista kama ulikuwa unadhani kwamba siku za hedhi ni siku salama basi hesabia umeumia
Kweli kivipi Mbiti?
Kwenye maziwa ndo wanafanyaje?Ukiiendekeza mkuu kama hivyo mbona kuna njia nyingi mtu ukiwa period mridhishane kwenye maziwa na kwenye mapaja kwa nini mfanye ukiwa period
Itakua wananyonyamo.Kwenye maziwa ndo wanafanyaje?
Kuuliza si ujinga
Binadamu kwa kutest test kila kitu hawaridhiki.Na kwa nini ufanye mapenzi siku ukiwa period jamaan Mungu ana maksudi yake jamaan katika siku 30 kupumzika siku 3 au 5
Sio kwamba yai la (mfano) kushoto ndo line vunjika vunjika ila la upande wa kulia linakuwa lipo fresh kwa kupokea mbegu za kiume?maana ya hedhi kwanza ni yai la mwanamke linatoka kwenye kizazi likiwa limejivunja vunja kama uchafu ndo maana linakuja na dam so hua lichukua siku 3-5 kuisha kabsa
kwa mantiki hio siku ya hedhi ni salama kabsa coz kule kwenye kizazi hakuna yai la kushika mimba linakua lishaharbika ndo linatoka
watu wa zaman ndo walikua wanajidanganya niko kwenye siku zangu za htr
Sent using Jamii Forums mobile app
Usije Kudhani wanawake wenzako wanaokubali kufanya siku ya hedhi ni WAJINGA.Inasikitisha sana kwa nyege gani jaman hata vinyaa hawana Mungu anisamehe tu huo ujinga siwezi fanya hata iwe vipi
hahahahahaaa....ndo siku ndege wako kanasa....hahahahaaaNa kwa nini ufanye mapenzi siku ukiwa period jamaan Mungu ana maksudi yake jamaan katika siku 30 kupumzika siku 3 au 5