ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,618
- 89,993
Cases za namna hiyo ni chache sana, hata kibaiolojia ni wanawake wenye mizunguko mifupi na wenye undefined mp tu ndio huweza kunasa kama wakifanya kipindi cha mp.akili imechoka kuandika! kwanza faham kipindi cha kunasa mimba mama anakuwaga vry hot alafu ana discarge fulan (mucus) !sasa ule ute wa kuteleza ndo huwa unakuepo wakat wa mp! na wakat wngn huwa tunaufel kuanzia 11dys na kuendelea huwa unajulikana tu hata ukiwa ktk movement zako!sasa ukiskia mtu yuko mp lakini ana unyeke wanadai akisex sk hyo anapata mimba! mie nawajua watu wakiduduana wakiwa hedhi wananasa frsh kbs!kuna DK hapa ngj nimtag Vladimirovich Putin njoo hapa utoe sababu za kisayansi
Kama una mzunguko kuanzia 26-32days na ipo haubadiliki it's almost impossible kunasa mimba coz mbegu za kiume zinakuwa hai for 3-5days after intercourse.
Doctor aje aseme kitabibu.