bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Kwa wale wapenzi wa Soka hasa wa timu zetu hizi mbili Yanga&Simba wanajua kinachoendelea kipindi hiki cha usajili
Mchezaji Raia wa Rwanda Haruna Niyonzima aka Fabregas wa Bongo baada ya kukipiga Yanga kwa muda wa miaka 6 hatimaye amekua habari ya mjini baada ya kwenda kutafuta Malisho mazuri zaidi sehemu nyingine
Sababu za Msingi za kuondoka ni Kushidwa kufikia makubaliano na waajiri wake wa zamani na kutaka dau kubwa zaidi ya milioni 100 pamoja na kipengele cha kusomeshewa watoto wake bure na upande wa pili kuweza kufikia Dau
Sikatai Haruna Niyonzima ni kati ya wachezaji wazuri kuwahi kutokea Yanga ila kuna wachezaji wazuri zaidi ya Niyonzima waliowahi kutokea na ambao wanacheza Yanga mpaka sasa mfano Nadir Haroub Cannaravo ametoa mchango mkubwa sana Yanga.
Swali je Kati ya Niyonzima na Huyu beki wa Kitasa wa Yanga Nadiri Haroub Cannavaro nani alitakiwa ale Dau kubwa la Usajili?
Mchezaji Raia wa Rwanda Haruna Niyonzima aka Fabregas wa Bongo baada ya kukipiga Yanga kwa muda wa miaka 6 hatimaye amekua habari ya mjini baada ya kwenda kutafuta Malisho mazuri zaidi sehemu nyingine
Sababu za Msingi za kuondoka ni Kushidwa kufikia makubaliano na waajiri wake wa zamani na kutaka dau kubwa zaidi ya milioni 100 pamoja na kipengele cha kusomeshewa watoto wake bure na upande wa pili kuweza kufikia Dau
Sikatai Haruna Niyonzima ni kati ya wachezaji wazuri kuwahi kutokea Yanga ila kuna wachezaji wazuri zaidi ya Niyonzima waliowahi kutokea na ambao wanacheza Yanga mpaka sasa mfano Nadir Haroub Cannaravo ametoa mchango mkubwa sana Yanga.
Swali je Kati ya Niyonzima na Huyu beki wa Kitasa wa Yanga Nadiri Haroub Cannavaro nani alitakiwa ale Dau kubwa la Usajili?