MJADALA HURU: John Pombe Magufuli na hatima ya kupanda ndege

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,591
20,746
Amani kwako.
Wakati dunia imegubikwa na mjadala mkubwa wa kupigwa na janga la ugonjwa wa corona virus wa mwaka 2019 ambao kiukweli ugonjwa huu hauchagui umpige nani tajiri au masikini na unaugulia hapa hapa hakuna India wala Afrika kusini.

Wakati mjadara mkubwa ni covid-19, jamii kama wasomi, viongozi, wenye hekima na wananchi wa kawaida kila mtu anaongea lake na wengine wanaomwamini Mungu na Allah leo wanapinga kama Mungu hawezi kufanya maajabu kwenye covid-19!.

TWENDE KWENYE MADA.
Viongozi wengi duniani mara baada ya kuapishwa, wamekuwa wakienda nchi za nje kwa nia ya kujitambulisha, kujenga urafiki kiuongozi, kidipromasia nk.

Wanaokwenda huko nje kuna wanaokwenda na malengo binafsi, kiserikali na wengine kutembea kuangalia kukoje huko kwa wakoloni au kusaini mikataba fake, kufungua account huko visiwani nk.

Tulejee kwa issue ya rais wa nchi kwenda ulaya kujitambulisha ambapo tunaweza kujiuliza mpaka sasa JPM hajapanda ndege kwenda popote kwa lengo hilo ila kwa issue za kiserikali tena hapa hapa afrika.

Ukivuta picha ya viongozi wengine na JPM utagundua tofauti kubwa kati yao na uwenda nasema uwenda JPM atakuwa ni kiongozi wa nchi ambaye amefahamika na kutajwa sana kuliko kiongozi mwingine wa nchi yetu bila kupanda ndege kwenda kujitambulisha.

Hilo linaweza kuwa ni jambo la kipekee hata kama linaweza lisiwe na impact kwake lakini anachokifanya kwa taifa tutaliona kesho, leo ni vigumu kuona analofanya.

Hali hiyo imenipelekea kutaka tuwe na mjadara huru kwetu wanajf na wale wanaopita kusoma pia wapate nafasi kujiuliza.
Unaruhusiwa kutoa povu.

Nawasilisha.
 
Mtu anayekwenda kanisani kwa ajili ya kufanya kampeni huyo sio kiongozi,mzee Julius Nyerere alikuwa anakwenda kusali na kurudi kwake muda wa kampeni anafanya kampeni,Mzee mwinyi na ache Mkapa wanasali na kurudi nyumbani sasa unapomleta huyu kwenye darasa huru ni kupoteza vocha tu
 
Hakuna haja ya Rais Magufuli kwenda kwa Mabeberu

Km Mabeberu yanataka ushirikiano na Tanzania Waziri wa mambo ya nje yupo
 
Kama hujui huko Duniani mambo yanavyokwenda, ukienda utaongea nini, hasa pale kikao rasmi kimekwisha mmekaa manakunywa chai mnapiga stories, au maswali kutoka kwa waandishi wa habari.

Ningefurahi aende hukohuko akawakoromee kuhusu Ubeberu wao kwa Taifa teule Tanzania. Zaidi ya kuwa mahiri kwenye siasa za ndani, ni kitu gani cha Mabeberu anakipenda na kukifahamu vizuri, mfano...mpira wa ulaya, movies, musics.....
18-0957-047.jpg
412553.jpg
 
Mtu anayekwenda kanisani kwa ajili ya kufanya kampeni huyo sio kiongozi,mzee Julius Nyerere alikuwa anakwenda kusali na kurudi kwake muda wa kampeni anafanya kampeni,Mzee mwinyi na ache Mkapa wanasali na kurudi nyumbani sasa unapomleta huyu kwenye darasa huru ni kupoteza vocha tu
upuuzi huu umetoka kwenye akili nyeusi tena tope

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ataongea nini huko kwa mabeberu......wakati kichwani kumejaa Ugoro.
Hata viongozi wa China Japan Korea Russia German France Italy Scandinavian hawaongei English kumbuka raisi wa China alivyokuja hapa alihutubia kichina na magufuli sio lazima kwake pia hao niliokutajia pamoja na magufuli hawakufeli shule Wala hawajawahi kuwa madjs! Ndio uone huyo DJ makengeza anakaa fungu gani

Sent from jamii forums
 
Nimecheka sana mkuu.
Ila haao jamaa kuitwa beberu ni kwa sababu ya tabia ya mbuzi a.k.a beberu.
Hilo jina sijui kwa nini mmeling'ang'ania hivyo!eti mabeberu!! Kwa hiyo sisi waafrica ndo majike? Tunajidharau wenyewe pasi shaka!!!
 
Hata viongozi wa China Japan Korea Russia German France Italy Scandinavian hawaongei English kumbuka raisi wa China alivyokuja hapa alihutubia kichina na magufuli sio lazima kwake pia hao niliokutajia pamoja na magufuli hawakufeli shule Wala hawajawahi kuwa madjs! Ndio uone huyo DJ makengeza anakaa fungu gani

Sent from jamii forums


Mpelekeni shule PhD fake ndo zinamfanya anakimbilia kijijini.
 
Kama hujui huko Duniani mambo yanavyokwenda, ukienda utaongea nini, hasa pale kikao rasmi kimekwisha mmekaa manakunywa chai mnapiga stories, au maswali kutoka kwa waandishi wa habari.
Ningefurahi aende hukohuko akawakoromee kuhusu Ubeberu wao kwa Taifa teule Tanzania. Zaidi ya kuwa mahiri kwenye siasa za ndani, ni kitu gani cha Mabeberu anakipenda na kukifahamu vizuri, mfano...mpira wa ulaya, movies, musics.....
Umenikumbusha Trump alienda na binti yake Ivanka kwny kikao cha G20 huko Osaka,then muda wa break watu wakawa wamesimama kwny group wakiongea akiwemo Macron, May, Trudeau na Lagarde (IMF head) na yeye Ivanka akaja kujipachika hapo hahah aisee wanakwambia alikua hajui chochote khs subject matter iliyokua discussed(Economics,International Politics etc) na alikua ni pointless & inappropriate,hahah wazungu hawafai.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom