Mimi chini 14 na kiuno 30huyo aliyevaa ya blue chini naona ndio angalau kdg, chini inc 14 sio mbaya japo mm naongeza kdg.
Pia hii huendana na mwili,
hua sipendi soksi ionekane, iwe kwa sbb suruali imebana au fupi, na sipendi suruali ndefu mpk ijikunje hasaa kitambaa, kwaio hua naweka size zote constant.
Wazo zuriUkitaka kujua size ya upana wa suruali unaotakiwa kuvaa fanya hivi, chukua upana wa kiuno chako kama ni 32 basi gawa kwa mbili ambayo ni 16 hiyo 16 ndo inabidi iwe urefu wa suruali kule kwenye turn up
FactMwanaume vaa nguo ikae vizuri, siyo mwanaume una vaa nguo imekunata mpaka mtu akikuona uko mbali anaanza kujiweka sawa akijua wewe ni binti ili ukifika tu akutongoze!
Ukifika karibu yake kumbe ni dume!
Acha kumdanganya mwenzakoHakunaga suruali ya kike mkuu vaa yoyote tu
Kafanyaje?Dah huyo mwenye maroon Jamani
Tunamuiga Pep GuardiolaMwenye blue..
Mwanaume akishavaa suruali ya kumbana hata simuangalii mara mbili! Hivi ni nani aliwaambia huwa wanapendeza?!
Na tumiguu twao yaani wanatia hasira!
Kwasiku za karibuni kumekuwa na mjadala wa vijana wa kiume kuendana na wakati. Ambapo kwenye suala la mavazi haswa suruali kumekuwa na mitizamo tofauti.
Kuna wanaobana sana suruali bila kujali ni jeans au ya kitambaa, kiasi cha kukamata mapaja mpaka chini kwenye turn up. Pia wale wengine huvaa suruali kama jamaa wa dini flani.
Kuna wanaovaa saizi ya kawaida kutokana na miili yao ilivyo halafu kuna wale wanaovaa "mabwanga".
Je ipi ni saizi ya kawaida ya suruali ya kiume? Inayobana, kawaida au bwanga?
Karibuni kwa mjadalaView attachment 1214281
Eti wanajiita mabaharia!Mwenye blue..
Mwanaume akishavaa suruali ya kumbana hata simuangalii mara mbili! Hivi ni nani aliwaambia huwa wanapendeza?!
Na tumiguu twao yaani wanatia hasira!
Endelea kumuelimisha mwenzakoAcha kumdanganya mwenzako
Kafanyaje?
Huwa nawaona sio wazimaEti wanajiita mabaharia!