Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,487
Kwa siku za karibuni kumekuwa na mjadala wa vijana wa kiume kuendana na wakati. Ambapo kwenye suala la mavazi haswa suruali kumekuwa na mitizamo tofauti.
Kuna wanaobana sana suruali bila kujali ni jeans au ya kitambaa, kiasi cha kukamata mapaja mpaka chini kwenye turn up. Pia wale wengine huvaa suruali kama jamaa wa dini flani.
Kuna wanaovaa saizi ya kawaida kutokana na miili yao ilivyo halafu kuna wale wanaovaa "mabwanga".
Je ipi ni saizi ya kawaida ya suruali ya kiume? Inayobana, kawaida au bwanga?
Karibuni kwa mjadala
Kuna wanaobana sana suruali bila kujali ni jeans au ya kitambaa, kiasi cha kukamata mapaja mpaka chini kwenye turn up. Pia wale wengine huvaa suruali kama jamaa wa dini flani.
Kuna wanaovaa saizi ya kawaida kutokana na miili yao ilivyo halafu kuna wale wanaovaa "mabwanga".
Je ipi ni saizi ya kawaida ya suruali ya kiume? Inayobana, kawaida au bwanga?
Karibuni kwa mjadala