Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

Jamani naomba niulize kwa wana JF ambao ni wataalamu wa ujenzi.

Naomba wanipatie bajeti ya kujenga nyumba ya kawaida yenye vyumba 5, sebule, kitchen, dinning na sitting room ina cost kwa makisio shilingi ngapi?

Naomba nielimishwe,

Asanteni.

======
SIMILAR CASES:
 
Kwenye usanifu Wa jengo una vitu vingi ambavyo umevisahau kama dining, sitting, patio, corridor verandah nk. Vyote hivi vina square metre. Kwa haraka niliona ramani ya vyumba vinne, dining, study three bathrooms, na sitting room, ilikuea sq.m. 116. Kwa nyumba ya kiwango cha chini ilikuwa 40,000,000/- kwa kiwango cha kati ni 58,000,000/-
Hii imekaa sawa kweli? ina maana kwa nyumba ya vyumba 5 alioulizia mkuu inaweza kuwa around Tzsh 25 - 30 Million?.

Hii ukikadiria kwamba kila chumba kitakuwa na ukubwa wa 10 square meters. ((10 x 5) x 500,000) = 25,000,000.

Kwa utaratibu huu mbona gharama zitakuwa ni ndogo ukilinganisha na gharama tunazozisikia kila siku?
 
Kwanza kwa wote mliochangia hii post nawaomba niwagongee senksi,kwa sababu ile kitufe cha kubofya senksi hakionekani kwangu.

Pili kuna nyumba (flat) ni mpya vya vyumba vitatu inauzwa kwa milioni 53 hapa Tanga.

Naomba wadau mniambie ni deal nzuri kununua au ni vizuri kujenga mwenyewe kwa hapa Tanga?

Asanteni.
Ni heri ujenge mwenyw tu maan uwatumia mafundi Wa kawaida sidhani kama itafika bei hiyo
 
Kwa Ujenzi wa Nyumba Kama Hii Nzuri Yenye Ubora yenye Urefu wa Mita 18 Kwa Mita 12 Unahitaji Kiasi Cha Tsh Milion 55 tu Kwa Ajili ya Kumiliki Nyumba Kama Hii Tuwasiliane Kwa Namba Hizo chini Kwa Ushauri Mbalimbali wa UJENZI wa Nyumba za Makazi Mfano Ghorofa na Nyumba za Kawaida Pamoja na Nyumba za Biashara ,Mashule

Tupigie kwa:-

0715-908698(Call/Whatsaap)
0759-538688(_Call)
0738-885806(TTCL Call)

ONE2ONE FOCUS TANZANIA

ONE2ONE FOCUS TANZANIA LTD

MAKUMBUSHO COMPLEX STENDI JENGO LENYE ATM YA CRDB(Floor ya Kwanza)

Tunajenga na Tunasimamia Ujenzi wako Kuanzia Hatua ya Awali Foundation Mpaka Finishing Sambamba na Kufuatilia Kibali cha Ujenzi na Kutengeneza Ramani ya Nyumba yako

Pia Tunafanya Interior Design ya Ujenzi na Majengo Mbalimbali

Pia Tutatengeza Ramani na Kuandaa BOQ ama Makadirio ya Ujenzi wako Kwa Gharama Nafuu Kabisa

NB;Tunajenga Kwa Malipo(Cash) na Sio Kwa Malipo ya Mkopo.

Tupitie kwenye Tovuti yetu hapo Chini

follow a link to this website: http://one2onefocustanzania.co.tz/ @ Dar es Salaam, Tanzania @ Dar es Salaam, Tanzania

Karibu sana ofisini kwa ushauri na Kazi za UJENZI

Tunajenga Ujenzi wa Kuanzia Hadi Tsh Milion 20 na Kuendelea

Tuna MAFUNDI Waliobobea na Utaalamu wa Hali ya JuuView attachment 890381View attachment 890383
Nimeona sample ya nyumba zenu; hadi hivi sasa nina 20M kwaajili ya kupata makazi/nyumba ya kuishi either kwa kujenga or kununua ndani ya mkoa wa Dar es salaam.
Naombeni msaada katika kutimiza lengo langu la kuwa na makazi bora ndani ya miezi sita kuanzia sasa.
 
KIWANJA KINAUZWA TABATA KINYEREZI. - JamiiForums

KIWANJA KINAUZWA TABATA KINYEREZI.
20190124_172457.jpeg
DSC_0011_4.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda chamazi... zimejaa na zinag'aa kwa bajeti yako...
Nimeona sample ya nyumba zenu; hadi hivi sasa nina 20M kwaajili ya kupata makazi/nyumba ya kuishi either kwa kujenga or kununua ndani ya mkoa wa Dar es salaam.
Naombeni msaada katika kutimiza lengo langu la kuwa na makazi bora ndani ya miezi sita kuanzia sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka finishing haiwezi kutosha mkuu,kwanza hapo ktk m.5 toa m.2 ya tofali.Ninahakika ktk ramani ya iyo lazima ziingie tofali 2000

Utakuta umebakiwa na m.3 sasa fundi mpk kuimaliza kujenga iyo nyumba atataka pengine laki nane mpka milioni moja.....

Utabakiwa na m.2 bado kupauwa ambapo hapo ndio pazito na hujachimba shimo la choo na ukatengeneza mwisho kabisa finishing pia pazito hapo mkuu ila anza ivyo usirudi nyuma ujenzi huwa hauwishi kwa siku moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi sana ndugu mie nilikua na iyo hela nikaanza na chumba kimoja seble choo cha public na jiko nw nyumba yangu INA vyumba vitatu vya kulala kujenga n taratibu anza tu ivo 2
Mpaka finishing haiwezi kutosha mkuu,kwanza hapo ktk m.5 toa m.2 ya tofali.Ninahakika ktk ramani ya iyo lazima ziingie tofali 2000

Utakuta umebakiwa na m.3 sasa fundi mpk kuimaliza kujenga iyo nyumba atataka pengine laki nane mpka milioni moja.....

Utabakiwa na m.2 bado kupauwa ambapo hapo ndio pazito na hujachimba shimo la choo na ukatengeneza mwisho kabisa finishing pia pazito hapo mkuu ila anza ivyo usirudi nyuma ujenzi huwa hauwishi kwa siku moja.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Flat Roof ni nafuu ila ina changamoto nyingi za kiufundi kuliko normal roof flat roof inakuwa na slop ndogo hivyo ni rahisi kuvuja katika misumari, pia flat roof ukuta unakuwa unaloa mno hivyo kupelekea ukungu katika kuta na some times maji kupenya ndani katika ceiling board
Asante kwa kunitia ufahamu
 
Ukubwa wa Kuanzia 20m X 17m
Mpaka 30m X 30m

Bei inaanza 15mil kwa 20 X 17

ENEO Kinyerezi Mwisho.... Shule ya Msingi Kibaga barabara yakwenda SONGAS

UMBALI WA ROBO SAA TU MPAKA KUFIKA ENEO LA KIWANJA HUSIKA KUTOKEA KINYEREZI MWISHO.



Sent using Jamii Forums mobile app
Robo saa ndo umbali gani!!??
Robo saa kwa miguu au kwa gari? Kama ni kwa miguu vipi kwa mlemavu wa miguu naye atatumia robo saa kutembea!!? Tuwe serious.
Kwanini usiweke umbali halisi kwa KM?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom