Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

Vyumba vitano? hiyo siyo ya kawaida ni jumba kubwa tu! Kama upo Dar, andaa kwa uchache milioni 200.
Habar Guantanamo, nimeona umeandika kwamba unahitaji nyumba ya vyumba vitano na ulikuwa unaomba watu wakufanyie makadilio, mm ni dada niko kwenye real estate mikocheni ,ofisi zetu zipo pale kida plaza , ni kweli kwa vyumba vitano pamoja na jiko na mengineyo inaweza kufika sh mil 200 lakini pia , mm ningekushaur ujaribu kuanglia kwenye real estate kwa upande wa wanaouza tu, kwa sababu unaweza kukuta bei ya sh mil 200 inapungua kidogo.

Nipo tayar kukusaidia ukihitaji maelezo zaid.
 
Kwanza kwa wote mliochangia hii post nawaomba niwagongee senksi,kwa sababu ile kitufe cha kubofya senksi hakionekani kwangu.

Pili kuna nyumba (flat) ni mpya vya vyumba vitatu inauzwa kwa milioni 53 hapa Tanga.

Naomba wadau mniambie ni deal nzuri kununua au ni vizuri kujenga mwenyewe kwa hapa Tanga?

Asanteni.

square mita ngapi na ni furnished au non furnished?
 
FB_IMG_1521572416578.jpg
 
Nakubaliana na SMU huo mjumba balaa, yaani mkubwa kweli kweli.

Ukijenga mjumba wa size hiyo jee watoto wako wakishaondoka wamemaliza shule utaufanya nini? Vile vile ni kujihakikishia idadi kubwa ya wageni kwa muda wote kwani kuna nafasi ya kutosha.

Maintenance costs ndio hazisemeki, unaweza kufaidi for the first four to five years, baadae ndio harakati za maintenance zinapoanza hapo.

Halafu TRA watakapokupiga hiyo property tax ndio utakoma ubishi.

Majumba ya aina hiyo yalikuwa yanajengwa mnamo miaka ya tisini sio sasa hivi.
Umetishaaaaa aiseee
 
Jamani naomba niulize kwa wana JF ambao ni wataalamu wa ujenzi.

Naomba wanipatie bajeti ya kujenga nyumba ya kawaida yenye vyumba 5, sebule, kitchen, dinning na sitting room ina cost kwa makisio shilingi ngapi?

Naomba nielimishwe,

Asanteni.

======
SIMILAR CASES:
Hiyo teknolojia haiitwi hivyo.
Intaloking no dizaini katika matofari.
Teknoloji inaitwa SSB. Yaani soil stabilized bricks.
Ipo DSM nenda veta.tba au udsm pale injiniaring watakupa kitu sahiho
 
Kupaua nyumba ya vyumba vinne makadirio yanaweza kuwaje... Bati mgongo mpana... Naomba makadirio gharama za fundi
 
Kwa Ujenzi wa Nyumba

Ujenzi wa Godown

Ujenzi wa Maghorofa

Kwa Kutumia
1.Tofali za Aina Mbalimbali Kuanzia Chipping na Kawaida

Kwa Ujenzi wa Nyumba Kuanzia Kiwango Mbalimbali Cha Fedha.

Unakaribishwa Kwa Ujenzi Safi

Kwa Mafundi Waliobobea na Wataalamu wa Hali ya Juu Karibu Kwenye Kampuni Yetu Kwa Ujenzi Bora.

Tuna Project Nyingi za Ujenzi Katika Mikoa ya DODOMA,DSM na KIGOMA

Pia Tutatengeza Ramani na Kuandaa BOQ ama Makadirio ya Ujenzi wako Kwa Gharama Nafuu Kabisa

Tupigie kwa

0715-908698(Call/Whatsaap)
0759-538688(_Call)

OMARI RAJABU
ADMINSTRATION OFFICE
EYESONEPROPERTY TANZANIA LTD

DAR ES SALAAM TANZANIA

Tunajenga Mkoa Wowote na Tunasimamia Ujenzi wako Kuanzia Hatua ya Awali Foundation Mpaka Finishing Sambamba na Kufuatilia Kibali cha Ujenzi na Kutengeneza Ramani ya Nyumba yako

Pia Tunafanya Interior Design ya Ujenzi na Majengo Mbalimbali

Tupitie kwenye Tovuti yetu hapo Chini

follow a link to this website: Eyeson - properties and real estate @ Dar es Salaam, Tanzania
FB_IMG_1522195610297.jpg
FB_IMG_1522195607075.jpg
FB_IMG_1522195603625.jpg
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom