1411
Member
- Aug 16, 2015
- 89
- 35
Mkuu mbona povu? Ulitaka aitwe baba mwenye gari?Eti "baba mwenye nyumba"..? Unaweza kugharamia elimu ya mwanao akitaka kusoma course ya Off-shore Engineering chuo kizuri ULAYA..? Vp mkeo akpata tatzo linalohitaji kwenda India kwa matibabu utagharamia au "heshima ni nyumba" tu..?