thomas_360
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 1,459
- 1,428
Huu uzi ni kwa ajili ya kupeana mawili matatu kuhusiana na elimu inayotolewa hapa nchini inamjenga vipi kijana kupambana na changamoto zilizopo mbele yake hususani swala la ufanisi katika utendaji wa kazi mbalimbali.
Karibuni waheshimiwa nina imani hapa kuna wanafunzi na watu ambao wapo katika system ya ajira hivyo tunatajiria kuelimika kwa namna moja ama nyingine.
Karibuni waheshimiwa nina imani hapa kuna wanafunzi na watu ambao wapo katika system ya ajira hivyo tunatajiria kuelimika kwa namna moja ama nyingine.