Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,920
- 122,182
Miongoni mwa kozi zinazooneka kinara katika Sekta ya Afya ni hizi kozi mbili, Doctor of Medicine(MD) na Bachelor of Pharmacy(BPharm)
Je ni ipi kozi bora kuliko nyingine? Kwa nini?
Je ni ipi kozi ngumu kuliko nyingine? Kwa nini?
Je hizi kozi zinategemeana? Yaani mfano Daktari na Mfamasia wanategemeana? Kivipi?
Kimasilahi, ni ipi ipo juu kuliko nyingine? Kwa nini?
Tujadili kwa kuzichambua na kuzinyumbua ili kuweza kujibu maswali tofauti kwenye vichwa vyetu na pia iwe msaada kwa wote wanaotaka au wenye ndoto za kuwa Health care Professinals.
Je ni ipi kozi bora kuliko nyingine? Kwa nini?
Je ni ipi kozi ngumu kuliko nyingine? Kwa nini?
Je hizi kozi zinategemeana? Yaani mfano Daktari na Mfamasia wanategemeana? Kivipi?
Kimasilahi, ni ipi ipo juu kuliko nyingine? Kwa nini?
Tujadili kwa kuzichambua na kuzinyumbua ili kuweza kujibu maswali tofauti kwenye vichwa vyetu na pia iwe msaada kwa wote wanaotaka au wenye ndoto za kuwa Health care Professinals.