Mjadala: Basi kubwa na pikipiki vikitembea vyote kwa 120km/hr nani atatangulia?

Factor kama wind resistance,aina ya matairi,barabara iko wet au dry huwezi kuona tofauti yake kwa magari ya kawaida kwasababu inaleta tofauti ya milliseconds. Kwenye race kama F1 hizo factor ndio huleta mshindi.
PRONDO# Umechemsha; kwahiyo waliotengeneza speed hawakujua kuwa kuna tofauti ya ukubwa Wa mataili?
ELIMU! ELIMU ! ELIMU
 
Factor kama wind resistance,aina ya matairi,barabara iko wet au dry huwezi kuona tofauti yake kwa magari ya kawaida kwasababu inaleta tofauti ya milliseconds. Kwenye race kama F1 hizo factor ndio huleta mshindi.

Mh! Ni elimu shule gani hiyo tumesomea! Nakumbuka kumwuliza mtoto "kama saa ya Tanzania ina dakika 60 ya Kenya ina dakika ngapi?"

Kwa pikipiki na gari kubwa kinachoangaliwa, kuhusu mwendo, siyo umbile, dereva au vikwazo vyovyote ila mwendokasi (120 km/hr). Vyote vinaenda kwa mwendokasi uleule.

Labda swali lingekuwa "chombo kipi kitaweza kufikia huo mwendokasi (acceleration) kwa haraka zaidi?"
 
System ni TOFAUTI ,so acha jilinganisha pikipiki na basi, basi linauwezo mkubwa ndugu, ila kumbuka pia pikipiki zipo za nguvu ba uwezo TOFAUTI as well as buses
 
Speed ni Wastani wa umbali gawanya Kwa muda. Sasa Kwa kiswahili tuna upungufu hatuna maneno mawili ya kutofautisha speed na velocity.
Jibu sahihi ni kuwa gari kubwa litatangulia Kwa kuwa na Mwendo mkali zaidi kwa maana yake velocity. Nitafafanua Baadae ili maswali mwepesi kama haya yasiwepo Kwa great thinker hapa JF
 
Duh, yaani hadi kipindi hiki swali hili bado ni lugha gongana!!!!

Speed za vyombo vya moto kama gar,pikipiki,ndege n.k mara nyingi ziko kwa km/hr au mph

Speed ya 120km/hr ya pikipiki maana Yake, kwa mwendo huo pikipiki itatembea umbali wa 120 km kwa SAA moja, vilevile kwa scania mwendo wa 120km/hr inacover 120km kwa saa moja. Hivyo ni ngoma droo.

Kumbukeni kwa magari makubwa yana tairi kubwa,hivyo mzunguko wa tairi huwa mdogo kufikia speed flani wakati huo zile gari ndogo zenye tairi ndogo ,tairi zake huzunguka Mara nyingi zaidi kufikia speed ileile sawa na ya Gari kubwa.

Mwisho, ikumbukwe kuwa, ISO ni chombo ambacho wanaratibu mambo mengi saana kwenye Magari ikiwemo na speed meter

Note:
Kama speed za gari kubwa na ndogo zingekuwa tofauti,basi hata ma Trafic wa barabarani wangekuwa na speed tochi/camera mbilimbili (yaani ya Gari kubwa na gari ndogo)

Umemaliza kabisa. Nadhani mangwini watakuwa wamekuelewa na tunaweza tukasema this Thread is closed!!
 
Kuna yule jamaa aliletaga uzi anaomba ushauri, anataka kusafiri kupitia Mbuga ya Mikumi kwa pikipiki!
 
Basi litatangulia kufika kwa kuwa radius ya tairi lake ni kubwa kuliko radius yaani kipenyo cha tairi ya pikipiki.
 
Duh, yaani hadi kipindi hiki swali hili bado ni lugha gongana!!!!

Speed za vyombo vya moto kama gar,pikipiki,ndege n.k mara nyingi ziko kwa km/hr au mph

Speed ya 120km/hr ya pikipiki maana Yake, kwa mwendo huo pikipiki itatembea umbali wa 120 km kwa SAA moja, vilevile kwa scania mwendo wa 120km/hr inacover 120km kwa saa moja. Hivyo ni ngoma droo.

Kumbukeni kwa magari makubwa yana tairi kubwa,hivyo mzunguko wa tairi huwa mdogo kufikia speed flani wakati huo zile gari ndogo zenye tairi ndogo ,tairi zake huzunguka Mara nyingi zaidi kufikia speed ileile sawa na ya Gari kubwa.

Mwisho, ikumbukwe kuwa, ISO ni chombo ambacho wanaratibu mambo mengi saana kwenye Magari ikiwemo na speed meter

Note:
Kama speed za gari kubwa na ndogo zingekuwa tofauti,basi hata ma Trafic wa barabarani wangekuwa na speed tochi/camera mbilimbili (yaani ya Gari kubwa na gari ndogo)
Kazi ya turbo ni ipi sasa.....?kuna gari kuna factor nyingi tu ndg haziwezi kwenda sawa hats siku moja ingawa umeeleza vzr....
 
Sio ya gari na pikipiki tu ..hata ingekuwa sisimizi anakimbia kwa speed ya 120km/hr na Boeing speed hiyo ya 120km/hr watakwenda sambamba na watafika pamoja..
Kingine fahamu uwezo WA gari kwenda avearage y'all km 120 Kwa sasa Kwa umbali WA km 10 ni mkubwa kuliko WA PIKIPIKI.
 
Back
Top Bottom