MJADALA: Baada ya Spika kujiuzulu ni hatua gani hufuata?

Habari WanaJF,

Wote tumeona taarifa ya Kujiuzulu kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania naomba kujuzwa yafuatayo;

Je, Hatua gani hufuata kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya Nchi?

Je, Naibu Spika anachukua madaraka Moja kwa Moja?


Karibuni Wajuvi
HATUA inayofuata sasa ni zamu ya Sirro kuondoka,na yeye atupishe tunasafisha "sukuma gang"
 
Apelekwe mahakamani akatueleze bilioni 12 za matibabu zilitumikaje
 
Siyo mwepesi, nguvu ya Rais na Mkiti wa CCM ni kubwa mnoo, akiamua hakuna wa kubaki salama iwe CCM ama Upinzani! Ndugai Kwa kukaa kwake kwenye System analitambua hilo, na wanaCCM siku zote wapo upande wa Mkiti na Rais wao! Yule bwana aliyepo mahabusu na wenzake walichukulie hili kama funzo kwao, wanapoambiwa Rais ni taasisi waelewe, siyo kujiropokea tu na kumuita Rais majina ya ajabu ajabu

Duh! Wewe bado hujasoma alama za nyakati. Bado unatumia vitisho?. Ulimsikia Rais kwenye hotuba yake alivyosema. Adui yake sio upinzani ni kijani mwenzake. Haya bwana muda utasema.

Mimi nadhani karma imempiga Ndugai kwa Yale aliyowafanyia upinzani na mengineyo leo yupo nje wanamcheka tu. Mama akitumia approach unayosema atafika mwaka 2025 amechoka Sana na karma itamtandika tu. Cha msingi Rais akae na wapinzani awasikilize madai yao basi. Kama Rais amekuwa na mgogoro na speaker Halafu kesho awe na mgogoro na wapinzani wewe unategemea Nini kitatokea.
 
Alisema mnamshambulia kwa kuwa yeye ni Mgogo, huenda kajiuzulu kwa hilo. Mbona Malechela hakujali ukabila?
 
Back
Top Bottom