econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,751
- 21,736
Ni wakati wa nchimbi kuwekwa ili amsafishie Njia mama hapo 2025?na yeye alipwe fadhila ya umakamu wa Raisi kama mgombea mwenza??Tuone sasa hatma ya maamuzi haya!! Je The State wameridhia maamuzi ya kumuondoa spika kisa maono yake???je Mama atatengenezewa kashfa ya rushwa kisa kulazimishwa na wenye dola kujiuzulu uraisi wake???ngoja tuone!!
Hivi hii nchi haina watu wengine zaidi ya hao hao wasiokuwa na jipya. Huyu nchimbi uwaziri ulimshinda akajiuzulu kipindi Cha kikwete.