KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
NDEGE YA MICHAEL JORDAN JE HUU NI UWEKEZAJI,KWANINI SERIKALI ISIFANYE HAWA WEIUSI WENZETU NAO WAJE KUWEKEZA HAPA NCHINI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo JMK kisha lifanya na aliwaalika hapa Tanznai na mkutano kubwa sana ulifanyika Arusha na wameanza kuja kwa wingi, tatizo tunawaita wawekezaji halafu tunawaambia wanapora mali zetu, hapo sasa.
Wanwekeza kwenye kujitajirisha kwa hila
mama tatizo mikatabafeki miiingi mnoHilo JMK kisha lifanya na aliwaalika hapa Tanzania na mkutano mkubwa sana ulifanyika Arusha na wameanza kuja kwa wingi, tatizo tunawaita wawekezaji halafu tunawaambia wanapora mali zetu, hapo sasa.
Hilo JMK kisha lifanya na aliwaalika hapa Tanzania na mkutano mkubwa sana ulifanyika Arusha na wameanza kuja kwa wingi, tatizo tunawaita wawekezaji halafu tunawaambia wanapora mali zetu, hapo sasa.
Wewe MWALI sio kweli kuwa mshikaji wako anawaalika waje kuwekeza halafu tunawaambia kuwa wanatuibia; ukweli ni kwamba mkweree anapokwenda huko kuwakaribisha kuwekeza hawaambii ukweli juu ya hali halisi ya nchi kuwa kwanza umeme ni shida na pia kuwa serikali yake haiheshimu sheria za nchi hasa pale haki za wawekezaji zinapokinzana na maslahi ya kisiasa!! Mfano ni hawa wawekezaji wa kiwanda cha saruji kule wazo, hawa ardhi walionunua pamoja na kiwanda imevamiwa na squatters na mahakama zote nchini zimeamuru squatters hao waondolewe kwenye eneo husika, lakini cha kushangaza serikali inashindwa kutekeleza uamuzi wa mahakama ya rufaa hivyo kuzuiai upanuaji wa kiwanda wa U.S.$ million 100; ambao ungesaidia kuongeza ajira na kodi kwa serikali. Sasa kama serikali ya mkweree inashindwa kuwalinda wawekezaji kama hawa unategemea muwekezaji gani mkubwa anaweza kuja kuwekeza kwenye nchi kama hii; pengine wachina wauza maua kariakoo!!
Una hisa nao?Hilo JMK kisha lifanya na aliwaalika hapa Tanzania na mkutano mkubwa sana ulifanyika Arusha na wameanza kuja kwa wingi, tatizo tunawaita wawekezaji halafu tunawaambia wanapora mali zetu, hapo sasa.
Hilo JMK kisha lifanya na aliwaalika hapa Tanzania na mkutano mkubwa sana ulifanyika Arusha na wameanza kuja kwa wingi, tatizo tunawaita wawekezaji halafu tunawaambia wanapora mali zetu, hapo sasa.
Kwani uongo?Hilo JMK kisha lifanya na aliwaalika hapa Tanzania na mkutano mkubwa sana ulifanyika Arusha na wameanza kuja kwa wingi, tatizo tunawaita wawekezaji halafu tunawaambia wanapora mali zetu, hapo sasa.
Hilo JMK kisha lifanya na aliwaalika hapa Tanzania na mkutano mkubwa sana ulifanyika Arusha na wameanza kuja kwa wingi, tatizo tunawaita wawekezaji halafu tunawaambia wanapora mali zetu, hapo sasa.