Mizinga kuelekea sikukuu ya Eid....

acha uchoyo wewe ....yani wewe nimume wa mtu halafu mi niwe mchepuko nisubirie dudu tu na hatuna future.. kuchunwa lazima wewe na acha uchoyo unafikiria kutiwa na limwanaume limume la mtu ni raha .. pesa zenu ndiyo raha .. sikukuu njema mfyuuuuuu
 
acha uchoyo wewe ....yani wewe nimume wa mtu halafu mi niwe mchepuko nisubirie dudu tu na hatuna future.. kuchunwa lazima wewe na acha uchoyo unafikiria kutiwa na limwanaume limume la mtu ni raha .. pesa zenu ndiyo raha .. sikukuu njema mfyuuuuuu
Eti uchoyo.....! We miss acha zako, wengine walishakumwaga kitambo, leo ndo wanafufuka, eti sina hela ya kula sikukuu... Hahahaaah, Maisha yake!
 
Kuna mdada alinipa mbunye kitambo saaana... Kaibuka ananiambia, mtoto wangu hajapata viatu vya sikukuu.... Hivi huyo baba ake mtoto anahusika na nini kwa mtoto, nigharamie mbunye na mtoto wa mwingine,... Sahau
lakini angeileta hiyo mbunye ungeila bila hata kufikiria mume wake angejisikiaje.. mpe zawadi mtoto ni baraka tena toa bila kuomba mbunye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom