Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
<br />
ndugu,uhusiano wa marope na el n ra haujaanza jana wala juzi,una zaidi hata ya muongo mmoja! Binti marope ana miaka minne pale voda...utaweza kuona
ccm haibebeki, ni hali ya sikio la kufa...nyie amueni kabisa kwenda chama mbadala,bado vijana nyie msibweteke na ahadi ya nchi hio ya kusadikika.
<br />
Sasa kama hao vijana wanataka kuhamia CDM kashfa zote walizoizulia CDM wanataka zisahaulike? Wanahama kwa sababu ya watu au kwa sababu itikadi ya chama imechuja? Au ndiyo yale yale ya chitambala?
Ni vema wangejisalimisha kwa wananchi kwa kuwaambia wazi kuwa walikuwa wakala wa upoyoshaji kwa niaba ya itikadi iliyoshindwa. Sawa kwa mawazo yao yakujiengua lakini kama mshabiki wa CDM naona kuna hatari ya kuingiza visusi vya migogoro. Nadhani uongozi wa CDM na hasa BAVICHA watakuwa na orodha kamili ya hawa wapuuzi na kuhakikisha hawahadai mtu; kama wao wameshindwa watokomee. Mwingereza kwani huna shughuli nyingine zaidi ya siasa? CDM kuna kujitolea na kujitosa; sasa nyinyi wenzetu wa chama dola mlikuwa na fursa zote za hazina pamoja na ufahari wake wa kiutawala.