'Mizigo' hii ilikuwa haikutajwa na Kinana na Nape

Sir R

JF-Expert Member
Oct 23, 2009
2,175
298
CCM ina mizigo mingi sana. David Mathayo ndio pekee yake aliyekuwepo kwenye mizigo ya kwanza ya CCM.

Kina Kinana na Nape hakuwahi kuwataja kina Nchimbi, Nahodha na Kagasheki kuwa ni mizigo.

Sasa nina amini kuna mawaziri wengi mizigo katika serikali hii ya CCM.

Nasubiri JK siku ya kushughulikia mizigo ya awali. Baba Jk pakua mizigo meli inazama.
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, siku chjache zilizopita Katibu mkuu wa chama dume na katibu mwenezi walifanya ziara mikoani na kuangalia kero zinazowakabili wananchi.

Katiaka ziara hiyo, mheshimiwa Kinanana aligundua mapunguf katika utendaji wa baadhi ya mawaziri na aliahidi kuwa lazima wang'oka

LEO HII SOTE TUMEONA WAMENG'OKA

Kwa anaemjua Kinana, huyu ndie aliemnadi Mkapa from uknown wazi wa sayansi kuwa Rais na pia ndie aliesimamia kampeni za Rais wetu wa sasa

Leo ndio nimeamini kwa nini Chadema wanamuogopa sana Kinanan kwani ni mtu wa kazi sio maneno na leo YAMETIMIA

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
1.-Katibu-Mkuu-wa-CCM-Abdulrahman-Kinana-akihutubiamaelfuya-watu-katika-Uwanja-wa-shue-la-Msingi-Rujewa.jpg

JITAMBUE1
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, siku chjache zilizopita Katibu mkuu wa chama dume na katibu mwenezi walifanya ziara mikoani na kuangalia kero zinazowakabili wananchi.

Katiaka ziara hiyo, mheshimiwa Kinanana aligundua mapunguf katika utendaji wa baadhi ya mawaziri na aliahidi kuwa lazima wang'oka

LEO HII SOTE TUMEONA WAMENG'OKA

Kwa anaemjua Kinana, huyu ndie aliemnadi Mkapa from uknown wazi wa sayansi kuwa Rais na pia ndie aliesimamia kampeni za Rais wetu wa sasa

Leo ndio nimeamini kwa nini Chadema wanamuogopa sana Kinanan kwani ni mtu wa kazi sio maneno na leo YAMETIMIA

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
1.-Katibu-Mkuu-wa-CCM-Abdulrahman-Kinana-akihutubiamaelfuya-watu-katika-Uwanja-wa-shue-la-Msingi-Rujewa.jpg

JITAMBUE1
Tumia akili wewe unafahamu list ya hao mawaziri?
 
Acha uongo, mizigo ya Kinana na Nape bado ni mawaziri.
 
Kinana na Nape nao ni mizigo CCM.
Tena wao ni MAroba ya Mihogo hayabebeki

ca1.jpg

CCM ina mizigo mingi sana. David Mathayo ndio pekee yake aliyekuwepo kwenye mizigo ya kwanza ya CCM.

Kina Kinana na Nape hakuwahi kuwataja kina Nchimbi, Nahodha na Kagasheki kuwa ni mizigo.

Sasa nina amini kuna mawaziri wengi mizigo katika serikali hii ya CCM.

Nasubiri JK siku ya kushughulikia mizigo ya awali. Baba Jk pakua mizigo meli inazama.
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, siku chjache zilizopita Katibu mkuu wa chama dume na katibu mwenezi walifanya ziara mikoani na kuangalia kero zinazowakabili wananchi.

Katiaka ziara hiyo, mheshimiwa Kinanana aligundua mapunguf katika utendaji wa baadhi ya mawaziri na aliahidi kuwa lazima wang'oka

LEO HII SOTE TUMEONA WAMENG'OKA

Kwa anaemjua Kinana, huyu ndie aliemnadi Mkapa from uknown wazi wa sayansi kuwa Rais na pia ndie aliesimamia kampeni za Rais wetu wa sasa

Leo ndio nimeamini kwa nini Chadema wanamuogopa sana Kinanan kwani ni mtu wa kazi sio maneno na leo YAMETIMIA

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
1.-Katibu-Mkuu-wa-CCM-Abdulrahman-Kinana-akihutubiamaelfuya-watu-katika-Uwanja-wa-shue-la-Msingi-Rujewa.jpg

JITAMBUE1

You belong to the kitchen
 
usiendeshwe kwa matukio kagasheki sio mzigo na wewe humjui. na hujui nyuma ya pazia kuna nini.hategemei uwaziri waka ubunge kuendesha maisha.yake.ujangirii sio vita ya kitoto

Sijakupata kabisa mkuu wangu.
 
Na hawa wa leo hata hawakuwa kwenye listi ya mizigo. Mizigo yote hata haijaguswa. Bila shaka nao watafuata nyayo za kutimuliwa. Kama sio sasa basi kipindi cha uteuzi wa mawaziri hao wane wapya.
 
Back
Top Bottom