Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
CCM ina mizigo mingi sana. David Mathayo ndio pekee yake aliyekuwepo kwenye mizigo ya kwanza ya CCM.
Kina Kinana na Nape hakuwahi kuwataja kina Nchimbi, Nahodha na Kagasheki kuwa ni mizigo.
Sasa nina amini kuna mawaziri wengi mizigo katika serikali hii ya CCM.
Nasubiri JK siku ya kushughulikia mizigo ya awali. Baba Jk pakua mizigo meli inazama.
Kina Kinana na Nape hakuwahi kuwataja kina Nchimbi, Nahodha na Kagasheki kuwa ni mizigo.
Sasa nina amini kuna mawaziri wengi mizigo katika serikali hii ya CCM.
Nasubiri JK siku ya kushughulikia mizigo ya awali. Baba Jk pakua mizigo meli inazama.