piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 612
Kawambwa, Ghasia na Maghembe si ndio mizigo ya Kinana??
Wameguswa??
Punguza kukurupuka
Mkuu I beg to differ, we ndo umekurupuka hujasoma alichoandika mwenye post bali umejikita kwenye heading, in a figure of speech tunaita alichoandika mwenye post kuwa ni irony