Kibuja
JF-Expert Member
- Aug 12, 2009
- 510
- 90
Usimteteee ni mzigo tena wa mawe. Kwa kafanya nini la maana katika kupambana na majangiri.
Alivamia anga za kiongozi mmoja wa CCM anaye deal na elephants
Usimteteee ni mzigo tena wa mawe. Kwa kafanya nini la maana katika kupambana na majangiri.
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo, siku chjache zilizopita Katibu mkuu wa chama dume na katibu mwenezi walifanya ziara mikoani na kuangalia kero zinazowakabili wananchi.
Katiaka ziara hiyo, mheshimiwa Kinanana aligundua mapunguf katika utendaji wa baadhi ya mawaziri na aliahidi kuwa lazima wang'oka
LEO HII SOTE TUMEONA WAMENG'OKA
Kwa anaemjua Kinana, huyu ndie aliemnadi Mkapa from uknown wazi wa sayansi kuwa Rais na pia ndie aliesimamia kampeni za Rais wetu wa sasa
Leo ndio nimeamini kwa nini Chadema wanamuogopa sana Kinanan kwani ni mtu wa kazi sio maneno na leo YAMETIMIA
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
JITAMBUE1
Kuna mizigo mipya lakini imeng'ang'ania, ambayo ni Pinda, Werema, na Mkuchika.
Alivamia anga za kiongozi mmoja wa CCM anaye deal na elephants
Alivamia anga za kiongozi mmoja wa CCM anaye deal na elephants
CCM ina mizigo mingi sana. David Mathayo ndio pekee yake aliyekuwepo kwenye mizigo ya kwanza ya CCM.
Kina Kinana na Nape hakuwahi kuwataja kina Nchimbi, Nahodha na Kagasheki kuwa ni mizigo.
Sasa nina amini kuna mawaziri wengi mizigo katika serikali hii ya CCM.
Nasubiri JK siku ya kushughulikia mizigo ya awali. Baba Jk pakua mizigo meli inazama.
Siyo kwenye baraza la mawaziri pekee, kati ya mizigo mibaya MWIGULU NCHEMBA ni namba moja na ndio maana chama cha mapinduzi kinachukiwa mpaka na watoto.mzigo mwingine LUKUVI.Huyo ndio anaharibu nchi kwa kuwafundisha watu kuwa kiburi cha madaraka.
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo, siku chjache zilizopita Katibu mkuu wa chama dume na katibu mwenezi walifanya ziara mikoani na kuangalia kero zinazowakabili wananchi.
Katiaka ziara hiyo, mheshimiwa Kinanana aligundua mapunguf katika utendaji wa baadhi ya mawaziri na aliahidi kuwa lazima wang'oka
LEO HII SOTE TUMEONA WAMENG'OKA
Kwa anaemjua Kinana, huyu ndie aliemnadi Mkapa from uknown wazi wa sayansi kuwa Rais na pia ndie aliesimamia kampeni za Rais wetu wa sasa
Leo ndio nimeamini kwa nini Chadema wanamuogopa sana Kinanan kwani ni mtu wa kazi sio maneno na leo YAMETIMIA
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
JITAMBUE1
njia nyeupe meno ya temboHii ni mizigo mingine tu nje ya ile ya Kinana na Nape! Je CCM ina mizigo mingapi?
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo, siku chjache zilizopita Katibu mkuu wa chama dume na katibu mwenezi walifanya ziara mikoani na kuangalia kero zinazowakabili wananchi.
Katiaka ziara hiyo, mheshimiwa Kinanana aligundua mapunguf katika utendaji wa baadhi ya mawaziri na aliahidi kuwa lazima wang'oka
LEO HII SOTE TUMEONA WAMENG'OKA
Kwa anaemjua Kinana, huyu ndie aliemnadi Mkapa from uknown wazi wa sayansi kuwa Rais na pia ndie aliesimamia kampeni za Rais wetu wa sasa
Leo ndio nimeamini kwa nini Chadema wanamuogopa sana Kinanan kwani ni mtu wa kazi sio maneno na leo YAMETIMIA
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
JITAMBUE1
Sijakusoma mkuu hebu funguka zaidiRaha ya ngoma ingia ucheze