Mizigo bado imepungua bandarini, wafanyabiashara wa Congo wamegoma kurudi

Mmeshamaliza ya dangote mnarudi tena bandarini kamwe hamuwezi kuwa mbadala kwa nchii hii hamna alternative zaidi ya uzushi ambao hautatui changamoto.
 
Hivi siku hizi meli za mizigo zinatumia week moja kutoka ulaya na China ama kama walikuwa wamepakia kwenda mombasa hivyo meli inaweza kubadiri port pasipokuwa na sababu za msingi?
 
Mmeshamaliza ya dangote mnarudi tena bandarini kamwe hamuwezi kuwa mbadala kwa nchii hii hamna alternative zaidi ya uzushi ambao hautatui changamoto.
Mkuu,jamhuri ni gazeti la manyerere,kada mzuri na mpambe namba moja wa ccm
 
tupe fact na evidence hatutaki habari za vichochoroni.
just tu nimeshuhudia meli 13 zimetia nanga kwenye maji ya kina kirefu karibu na ufukwe wa coco. tupunguze majungu.
 
....Mzee Mkinga anajua sana mambo ya bandari...! Angekuja hapa atoe ufafanuzi wa uhalali wa malalamiko ya Wacongo.
 
Afu itakusaidia nini?? na ukute hata ajira huna unategemea ajira bandarini huko huko

Mbona povu, kwani mizigo kupungua nimesababisha mimi?

Aliyesababisha katulia zake magogoni, wewe unaniandama mimi
 
Mimi sielewi wanaofanya haya maamuzi walisoma uchumi gani na wapi maana anayeamua mzigo upitie wapi au bandari gani ni mwenye mzigo. Kwa sababu TPA walisema wameongea na serikali ya DRC ambayo sina uhakika kama inaweza kuwaelekeza wafanyabiashara wake pa kupitisha mizigo yao!
Uko sahihi mkuu.
 
tupe fact na evidence hatutaki habari za vichochoroni.
just tu nimeshuhudia meli 13 zimetia nanga kwenye maji ya kina kirefu karibu na ufukwe wa coco. tupunguze majungu.
Mtasema mpaka ufukwe wa mbezi beach na kawe kuna meli zimepaki
 
Mimi sielewi wanaofanya haya maamuzi walisoma uchumi gani na wapi maana anayeamua mzigo upitie wapi au bandari gani ni mwenye mzigo. Kwa sababu TPA walisema wameongea na serikali ya DRC ambayo sina uhakika kama inaweza kuwaelekeza wafanyabiashara wake pa kupitisha mizigo yao!
VAT inawaudhi wengi ni bora ile kodi ya kawaida yaani 10% ya pato iendelee kama kawaida,kodi kwa sasa si rafiki kwa watu wengi ndiyo maana ukwepaji kodi bado upo.
 
Kwa mujibu wa gazeti la jamhuri,hali bado ni tete bandarini,mizigo bado imepungua,na kwamba wafanyabiashara wa Congo wamegoma kurudi mpaka pale VAT itakapoondolewa.
VAT ni shiiiiida sijui kwa nini hawataki kuendelea na kodi ya kawaida ambayo ni kodi rafiki kwa walipa kodi.
 
Back
Top Bottom