Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,551
Hizi baadhi ya kauli za Pinda, zimenifanya nimkumbuke EL!.Tatizo tunaiga kila kitu.
Bunge tumeiga Westminster, mpaka majibu ya hapo kwa papo nayo tumeiga.
Wakati Waziri Mkuu wetu hata kumung'unya boilerplate iliyopakwa koti la ukweli kama PM wa UK hawezi.
Hapo kwenye maswali ya hapo kwa papo hamna desa wala personal asistant kusaidia kupata desa, ndipo unajua nani fahali na nani ndama.
Hebu na alitue hilo zigo la watu alilojitwisha ili 2015 twende kazi, mwendo mdundo!.