Nime copy to na ku pasteMh Pinda anajua katoa somo na kuhusu katiba aisee maana nimepitia kauli yake midomo na sauti na hisia za usoni hongera sana mzee angalau ile kauli ya katiba ipo tight inatosha sana kueleweka
Ilimradi asifukue ufisadi wenu. Unatamanije maisha ambayo ulishindwa kuyaishi wakati wa uongozi wako? Unafiki mtupu.Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda amesema isingekuwa katiba ipo “tight” kidogo, basi angetamani kuona Rais Magufuli akiongeza miaka mingine mitano baada ya muda wake kuisha.
"Ni kwakuwa tu katiba zenyewe kidogo ziko taiti lakini kama si kwa sababu hiyo, Walahi ningesema mzee piga mingine mitano tu''
Pia Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu ameongeza kuwa:
“Ni matumaini yetu kwamba katika kipindi hiki hata kama utatugomea kabisa kuongeza kidogo, lakini utahakikisha basi umetupa kiongozi mwingine mzuri kwa kusaidiana na NEC, atakayeweza kusukuma mawazo haya na maamuzi haya magumu ambayo unayafanya”
Mzee Pinda ametoa kauli hiyo leo hii wakati wa Semina ya Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa (NEC) iliyofunguliwa na Rais Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, inayofanyika Jijini Mwanza.
Naomba watanzania wote, mmshauri Dr JP Magufuli aniteue mimi niwe mgombea wa CCM, na baadaye Rais waJamhuri ya muungano waTanzania, ili niendeleze hapo alipofikia ndg wananchi mnasemaje?utatugomea kabisa kuongeza kidogo, lakini utahakikisha basi umetupa kiongozi mwingine mzuri kwa kusaidiana na NEC, atakayeweza kusukuma mawazo haya na maamuzi haya magumu ambayo unayafanya”
Usinipangie kuona kisichoonekanaWewe ni kijakazi wa mabeberu no wonder.Hivi niamini kwamba kweli huoni juhudi za Magufuli za kuwaletea Watanzania maendeleo?No,umepofushwa macho.Either unafuata mkumbo wa vibaraka wa mabeberu au na wewe ni kibaraka.
Ukitaka kuwatawala wafanye wawe masikini ili wakutii,hawa wazee wanaogopa wanajihami wasiguswe madhambi yao ya upigaji wa nyuma,hivo wanakwenda na mdundo wa ngoma.Ni mwendo wa kujikomba tu hivi sasa. Madikteta hawanaga mchezo, kila mtu wanamuweka kwenye mstari.
Either you lack judgement,evaluation and diagnostic capabilities or you are pretending not to see.
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda amesema isingekuwa katiba ipo “tight” kidogo, basi angetamani kuona Rais Magufuli akiongeza miaka mingine mitano baada ya muda wake kuisha.
"Ni kwakuwa tu katiba zenyewe kidogo ziko taiti lakini kama si kwa sababu hiyo, Walahi ningesema mzee piga mingine mitano tu''
Pia Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu ameongeza kuwa:
“Ni matumaini yetu kwamba katika kipindi hiki hata kama utatugomea kabisa kuongeza kidogo, lakini utahakikisha basi umetupa kiongozi mwingine mzuri kwa kusaidiana na NEC, atakayeweza kusukuma mawazo haya na maamuzi haya magumu ambayo unayafanya”
Mzee Pinda ametoa kauli hiyo leo hii wakati wa Semina ya Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa (NEC) iliyofunguliwa na Rais Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, inayofanyika Jijini Mwanza.
Pamoja na kwamba sikipendi chama cha kijani, lakini huyu mzee Kayanda Peter Pinda ni mmoja ya wazee wachache wanao jielewa na kusimamia kile wanacho kiamini.
Mzee huwa namtazama akiongea hutoa kile ambacho yeye binafsi anakiamini, tena pasipo na tashwishwi husema jambo bila kushinikizwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili jukwaa liwe huru, sio lazima basi tufanane mawazo, fikra na mitazamo.