Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwa shambani kwake Kibaoni kwa maandalizi ya kupanda mahindi mh yupo nyumbani kwao kwa mapumziko ya Krismasi na Mwaka Mpya. (Picha: Chris Mfinanga)
Hongera sana Pinda kwa kuonesha mfano wa Kilimo Kwanza kwa vitendo!
Source: Mjengwa's blog.