Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Waziri mkuu na karibia mawaziri wote na mtendaji mkuu wa BRN,Katibu mkuu kiongozi na watendaji wa kile kitengo cha raisi cha kufuatilia miradi wapo hivi sasa katika ukumbi wa Mlimani City kwa kupeana na kupokea taarifa za BRN
Live @ TBC
===================
Live @ TBC
===================
Waziri mkuu MIZENGO PETER PINDA leo anazindua ripoti ya mwaka mmoja 2013 / 2014 wa mpango wa kutekeleza matokeo makubwa sasa yaani (BRN) katika ukumbi wa mlimani City jijini Dar es salaam.
Waziri mkuu pinda amesema ripoti hiyo inamrengo kabambe wakuona ninamna gani wamefikia lengo na hivyo kuweza kujitathimini kupitia matokeo hayo ambayo yana malengo makuu ya dira ya dunia hadi ifikapo mwaka 2025