Kama vile ni rahisi.Kuna mmoja alisema angeenda kuchunga ng'ombe.
Km li-lowasa!Wakati Wassira kasema hajui maisha mengine zaidi ya siasa hivyo 2020 anagonbea tena ubunge. Smh.
Limekaa kwenye uongozi zaidi ya miaka 30 ila Hakuna cha maana limefanya ila Bado linataka kurudi tena mjengoni. Ujinga ni kudhani wewe tu ndiyo mwenye haki ya kuongoza
Aliharibu tu pale aliposema " wapigwe tu"Huyu mzee hata mie nimeadmire sana mkuu, yaani tuuuli anapiga kazi zake kimya kimya pesa inaingia, siasa tupa kule,
Ulitaka ukileta fyoko usipigwe!Utapigwa tu!Aliharibu tu pale aliposema " wapigwe tu"
Basi sawaUlitaka ukileta fyoko usipigwe!Utapigwa tu!
Sawa.Basi sawa
Tanzania ina watu vichwa sana. Basi tu huwa tunadharau viongozi wetu.
Mizengo Pinda baada ya kubwagwa kwenye kinyang'anyiro cha Urais 2015, akajikalia zake kimyaaa huku akijishughulisha na miradi yake ya kilimo, mifugo na uvuvi. Anapenda maisha ya shambani.
Anafuga ng'ombe, nyuki, Mbuzi, kondoo kisasa na anasafirisha nje ya nchi.
Hana papara na siasa,ameziacha, mzee wa watu jembe sana.
Huwezi kumfananisha na Tyson, Kingunge na wengineo. Kimyaaa na mambo yake ya ujasiriamali.
Aje tu mimi sio mgeni naye.Kuna mama anaitwa Faizafox akiona hii post yako, hili jukwaa utaliona chungu.
Hivi umeelewa alichokiandika mtoa maada? Au umeandika kwa mihemko?Hivi kwa mziki wa Majaliwa hu huyo mzee unae msifia huoni kama anaona AIBU!? Mambo mengine mue mnaa andika mkijua wengi wana soma bana!
Kosa kubwa alilofanya Pinda ni kugombea urais. Hakuwa na nafasi hata kidogo. Kule Zanzibar kwake ni sumu!Tanzania ina watu vichwa sana. Basi tu huwa tunadharau viongozi wetu.
Mizengo Pinda baada ya kubwagwa kwenye kinyang'anyiro cha Urais 2015, akajikalia zake kimyaaa huku akijishughulisha na miradi yake ya kilimo, mifugo na uvuvi. Anapenda maisha ya shambani.
Anafuga ng'ombe, nyuki, Mbuzi, kondoo kisasa na anasafirisha nje ya nchi.
Hana papara na siasa,ameziacha, mzee wa watu jembe sana.
Huwezi kumfananisha na Tyson, Kingunge na wengineo. Kimyaaa na mambo yake ya ujasiriamali.
Tanzania ina watu vichwa sana. Basi tu huwa tunadharau viongozi wetu.
Mizengo Pinda baada ya kubwagwa kwenye kinyang'anyiro cha Urais 2015, akajikalia zake kimyaaa huku akijishughulisha na miradi yake ya kilimo, mifugo na uvuvi. Anapenda maisha ya shambani.
Anafuga ng'ombe, nyuki, Mbuzi, kondoo kisasa na anasafirisha nje ya nchi.
Hana papara na siasa,ameziacha, mzee wa watu jembe sana.
Huwezi kumfananisha na Tyson, Kingunge na wengineo. Kimyaaa na mambo yake ya ujasiriamali.
Mambo miss chaggakatunza heshima yake
Saa hizi anachunga "nyumbu"Kuna mmoja alisema angeenda kuchunga ng'ombe.
Pouwa mkuuMambo miss chagga
Lowassa na wasira wote wanafanana kwa tamaa ya madarakaTanzania ina watu vichwa sana. Basi tu huwa tunadharau viongozi wetu.
Mizengo Pinda baada ya kubwagwa kwenye kinyang'anyiro cha Urais 2015, akajikalia zake kimyaaa huku akijishughulisha na miradi yake ya kilimo, mifugo na uvuvi. Anapenda maisha ya shambani.
Anafuga ng'ombe, nyuki, Mbuzi, kondoo kisasa na anasafirisha nje ya nchi.
Hana papara na siasa,ameziacha, mzee wa watu jembe sana.
Huwezi kumfananisha na Tyson, Kingunge na wengineo. Kimyaaa na mambo yake ya ujasiriamali.
Mzee Pinda alibebeshwa zigo la misumari na JakayaPinda was the right PM serving under a wrong President