kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 716
Wadau nimepita pale mizani mpya ya Vigwaza nimeona marekebisho na ujenzi wa jiwe la msingi ukifanyika nikaambiwa mheshimiwa rais anakuja kuzindua akiwa na mgombea urais.Kwangu mimi nina maswali mawili...
1. Kwanini uchaguzi wetu hautoi mizania sawa kwa wagombea? Je, mgombea anaweza kuwa bado waziri akiwa si mbunge tena?
2. Je, ni kweli imetumika bilioni 15 kujenga ule mzani?
1. Kwanini uchaguzi wetu hautoi mizania sawa kwa wagombea? Je, mgombea anaweza kuwa bado waziri akiwa si mbunge tena?
2. Je, ni kweli imetumika bilioni 15 kujenga ule mzani?