The Certified
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 910
- 773
December 05, 2013, zilitoka taarifa za msiba wa hayati Nelson Mandela Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini na mwili wake ulizikwa December 15 katika kijiji cha Qunu mkoa wa Eastern Cape Afrika Kusini.
Ikiwa imepita miaka kadhaa tangu rais huyo afariki Dunia The Certified anakusogezea Picha za nyumba aliyowahi kuishi Nelson Mandela enzi za uhai wake kabla na baada ya kutoka jela akiwa na mke wake Winnie Mandela
Nyumba hiyo ipo mtaa wa Vilakazi Orlando west Soweto na imepewa jina la Mandela House, kwa mujibu wa mpokea wageni anasema watu zaidi ya 1000 kwa siku hutembelea sehemu hiyo ya makumbusho. Salute Kwa Millardayo.com
Baadhi ya vitu aliwahi kutumia Nelson Mandela
Jiko alilowahi kutumia Winnie Mandela