Je, Muwa ni tunda?

Grass maana yake si ni majani sasa inahusianaje na Muwa?

Muwa sio tunda kwani tunda linatokea kwenye ua. Na tunda lazima liwe na mbegu kwa sababu tunda ndilo linalotokeza kizazi kingine( sexual reproduction). Kwa hiyo muwa tunaokula ni shina. Kama mjuavyo kwenye mimea, kutegemea na aina, tunakula kila sehemu ya mmea na sio tunda tu. Mfano, mihogo au karoti tunakula mizizi, mboga za majani tunakula majani na matawi, kwenye couliflower tunakula maua,nk.
Kuhusu classification, miwa iko katika Grass famiy inaitwa Poaceae, nafamily hii ni pamoja na miwa, mianzi, na aina mbalimbali za nyasi. Classifications za mimea kama ilivyo kwa wanyama hufanyika kwa kuzingatia maumbile na sio size ya kiumbe.
 
muwa sio tunda kwani tunda linatokea kwenye ua. Na tunda lazima liwe na mbegu kwa sababu tunda ndilo linalotokeza kizazi kingine( sexual reproduction). Kwa hiyo muwa tunaokula ni shina. Kama mjuavyo kwenye mimea, kutegemea na aina, tunakula kila sehemu ya mmea na sio tunda tu. Mfano, mihogo au karoti tunakula mizizi, mboga za majani tunakula majani na matawi, kwenye couliflower tunakula maua,nk.
Kuhusu classification, miwa iko katika grass famiy inaitwa poaceae, nafamily hii ni pamoja na miwa, mianzi, na aina mbalimbali za nyasi. Classifications za mimea kama ilivyo kwa wanyama hufanyika kwa kuzingatia maumbile na sio size ya kiumbe.
nataka kuamini ulichoandika maana kuna logic katika contents za mchango wako.
 
tunda ni nini????
define
what is seed also???
by the way muwa unakua kwa asexual repr ndo maana kuna contradiction nying sana kwa watu wasiojua
 
Muwa sio tunda kwani tunda linatokea kwenye ua. Na tunda lazima liwe na mbegu kwa sababu tunda ndilo linalotokeza kizazi kingine( sexual reproduction). Kwa hiyo muwa tunaokula ni shina. Kama mjuavyo kwenye mimea, kutegemea na aina, tunakula kila sehemu ya mmea na sio tunda tu. Mfano, mihogo au karoti tunakula mizizi, mboga za majani tunakula majani na matawi, kwenye couliflower tunakula maua,nk.
Kuhusu classification, miwa iko katika Grass famiy inaitwa Poaceae, nafamily hii ni pamoja na miwa, mianzi, na aina mbalimbali za nyasi. Classifications za mimea kama ilivyo kwa wanyama hufanyika kwa kuzingatia maumbile na sio size ya kiumbe.

Mkuu, nikurekebishe kidgo. Fruit kuita fruit si lazima liwe na mbegu za kuendeleza uzaz n specie husika. Kuna baadhi ya matunda hayana mbegu kabisa.
Tuje kwenye topic. Kama ulivyosema huwa tunakula matunda, mziz, majana hata sterm...sasa mua lipo kwenye kundi la shina
 
tunda ni nini????
define
what is seed also???
by the way muwa unakua kwa asexual repr ndo maana kuna contradiction nying sana kwa watu wasiojua

Mua si tunda katika characterstc za fruit utakuta kuwa hata fruit inaweza angushwa akiiva ( maana zile acid inayofanya iendelee kuw bich na kushikiriwa inapotezwa, so huiva) na isi athiri uhai wa mmea husika
Refer papai,maemb, grape, etc yote hyo huweza chumwa katwa bt mmea
ukaende ku regenerate
 
Mkuu, nikurekebishe kidgo. Fruit kuita fruit si lazima liwe na mbegu za kuendeleza uzaz n specie husika. Kuna baadhi ya matunda hayana mbegu kabisa.
Tuje kwenye topic. Kama ulivyosema huwa tunakula matunda, mziz, majana hata sterm...sasa mua lipo kwenye kundi la shina

Yeah matunda ukiyafanyia parthenogenesis huwa hayana seeds
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom