Bodabodafasta
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 372
- 364
Kwa hakika nimekuwa nikiona kiuno feni kwenye baikoko video; ila sikuwahi kutana nayo live live kwenye mechi zangu; wadau hizi mambo zipo kwenye baikoko tu au mpaka tupate wadada wa tanga???
Huu mwaka natamani kukutana na mdada kiuno feni maana ni sehemu ya interest yangu...naomba kujua wanapatikana wapi kwa wingi ili niweze kusogea maeneo hayo; kwa sasa kila mwezi nimeplan kwenda maeneo ya tanga maana nasikia vitu kama hivyo ndo vipo pia nataka kujua club au sehemu ya starehe wanapokuwepo(dsm) sana hawa wadada wenye kiuono kinachoznguka nyuzi 360.
Huu mwaka natamani kukutana na mdada kiuno feni maana ni sehemu ya interest yangu...naomba kujua wanapatikana wapi kwa wingi ili niweze kusogea maeneo hayo; kwa sasa kila mwezi nimeplan kwenda maeneo ya tanga maana nasikia vitu kama hivyo ndo vipo pia nataka kujua club au sehemu ya starehe wanapokuwepo(dsm) sana hawa wadada wenye kiuono kinachoznguka nyuzi 360.