Mtoto wa Mkulima
JF-Expert Member
- Apr 12, 2007
- 683
- 122
Jamani kuna picha nimeiweka hapa chini nisaidieni kuibandika (mimi sijui kubandika picha JF)
Ukiangalia hiyo barabara na hayo magari kweli unaweza kuikana hata nchi yako. Hivi kweli maisha bora hata barabara za mikoani tuu tunashindwa kuweka hata changarawe? Tunazunguka kutafuta wawekezaji hivi ni mwekezaji gani atawekeza sehemu kama hizi za Kigoma japo kuna opportunities nyingi?
Hii bara bara inanikumbusha siku moja nilikuwa naenda Lindi na Mtwara tukalala Nangurukuru siku 3.
Ukiangalia hiyo barabara na hayo magari kweli unaweza kuikana hata nchi yako. Hivi kweli maisha bora hata barabara za mikoani tuu tunashindwa kuweka hata changarawe? Tunazunguka kutafuta wawekezaji hivi ni mwekezaji gani atawekeza sehemu kama hizi za Kigoma japo kuna opportunities nyingi?
Hii bara bara inanikumbusha siku moja nilikuwa naenda Lindi na Mtwara tukalala Nangurukuru siku 3.