mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Kuna watu wanajiita mitume, manabii na wahubiri maarufu hapa nchini.
Nawaomba mnisaidie kwani ninakabiliwa na utata katika hili. Kwamba natakiwa niitii mamlaka kwani imewekwa na mungu. Hadi sasa naitii malaka yaani raisi wangu na serikali kwa ujumla. Sasa mbona lawama zinazidi kuhusu hii mamlaka? Eti inahusika na hili na lile.
Cijui Uli.. ah! nachoka mimi. SASA TUAMBIENI NYIE MNAOSIKIA MIMONGONO YA ALIYE JUU. Je, mamlaka hii imewekwa na Huyo mumhubiriye?
Je, huyo anasemaje kuhusu hiki chombo chake? Kimeasi, kimelewa madaraka, kinahaha, au akili zimezidi, ama kiko sawa bado na kwamba kelele za pembeni ni za Wafilisti tu?
Nawaomba mnisaidie kwani ninakabiliwa na utata katika hili. Kwamba natakiwa niitii mamlaka kwani imewekwa na mungu. Hadi sasa naitii malaka yaani raisi wangu na serikali kwa ujumla. Sasa mbona lawama zinazidi kuhusu hii mamlaka? Eti inahusika na hili na lile.
Cijui Uli.. ah! nachoka mimi. SASA TUAMBIENI NYIE MNAOSIKIA MIMONGONO YA ALIYE JUU. Je, mamlaka hii imewekwa na Huyo mumhubiriye?
Je, huyo anasemaje kuhusu hiki chombo chake? Kimeasi, kimelewa madaraka, kinahaha, au akili zimezidi, ama kiko sawa bado na kwamba kelele za pembeni ni za Wafilisti tu?