Bess
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 542
- 649
Senator Mitt Romney, ambaye pia alikuwa mgombea Urais wa Marekani mwaka 2012 akichuana na Barack Obama amefanya tukio la ajabu sana kwa historia ya siasa za Marekani, baada ya kupiga kura pamoja na chama pinzani cha Demokract kumuondoa Rais wake madarakani.
Mitt Romney anasingizia kusimamia Imani yake na sio sheria na utaratibu wa chama chake. Ni swali jepesi anaulizwa, kabla ya kuwa mwanachama ulikuwa na Imani tofauti?
Kinachoendelea sasa hivi ni kampeni ya kumuondoa huyu jamaa kwenye chama, amesikika Trumph akisema kikao atakachokaa lazima kifanye maamuzi juu ya hatua ya mwenzao kuwageuka. Misingi ya demokrasia ya vyama vingi mnabishana na kuumizana ndani ya vikao vya chama, mkitoka nje mnakuwa kitu kimoja
Ndugu yetu Membe pia, naye anachuana vikali kupinga sera za mwenyekiti wa chama chake, na ama kujaribu kutaka kuchukua fomu pamoja na mwenyekiti wa chama huku akijua sheria na utaratibu wa chama anachoita chake.
Kumbe Mzee wetu Membe mama mmoja na Mitt Romney
Mitt Romney anasingizia kusimamia Imani yake na sio sheria na utaratibu wa chama chake. Ni swali jepesi anaulizwa, kabla ya kuwa mwanachama ulikuwa na Imani tofauti?
Kinachoendelea sasa hivi ni kampeni ya kumuondoa huyu jamaa kwenye chama, amesikika Trumph akisema kikao atakachokaa lazima kifanye maamuzi juu ya hatua ya mwenzao kuwageuka. Misingi ya demokrasia ya vyama vingi mnabishana na kuumizana ndani ya vikao vya chama, mkitoka nje mnakuwa kitu kimoja
Ndugu yetu Membe pia, naye anachuana vikali kupinga sera za mwenyekiti wa chama chake, na ama kujaribu kutaka kuchukua fomu pamoja na mwenyekiti wa chama huku akijua sheria na utaratibu wa chama anachoita chake.
Kumbe Mzee wetu Membe mama mmoja na Mitt Romney