Mitsubishi Shogun Sport/Challenger mashine ambayo wapenda magari ya off road Tanzania hawajaishtukia

Kama hela ya Kununua vipuri vya Audi ipo thats the best choice ila kama unataka gari isiyokuumiza sana kwenye maintenance ingia kwenye Voltz.
Kuhusu mazda usitie pua humo, hamna gari japo body lake tamu linavutia ila itakutesa!
Asante sana Boss kwa usharuri
 
LAND CRUISER and PATROL maybe na Ranger au TATA .. or kama unajiweza Range rover Discovery..

off road TIP~ 1
 
Watanzania wengi wanaomiliki au kutamani kumiliki gari sio watu wa adventure hasa maeneo ya porini,mashambani au hifadhini kama ukiwa mtu wa masafa hasa huko pembezoni kusiko na lami Toyota hafui dafu...kwa hiyo kama ni mtu wa adventure utatafuta gari imara za offroad....Mitsubishi ana DNA za offroad tangu zama! Pamoja na wenzie kv Suzuki's nk

Advantage ya Toyota ni unafuu wa spea tu na kulala mbele...ila ndio hazidumu + offroad Toyota hajiwezi ni kama scania vs Chinese versions za lorries kv Howo
 
[URLhttps://youtu.be/rxDpwT0o_HM][/URL]
Kwenye comparison hii ya professional reviewers Mitsubishi kamzidi fortuner
 
Toyota does not break easily in tough conditions.

Hii ndio inapelekea gari zake kupendwa zaidi but drawback ni kuwa Toyotas are never fun cars to drive...they used to lack the fancy cosmetics that make driving more plasurable japo kwa sasa wameimprove as their trim of luxuries can somehow keep pace with other car brands such as the German autos. (BMW, AUDI, MERCEDES,VW n.k) hasa hasa Lexus brand.

Hao ma star wananunua gari kwa badge ama price tag ilio kubwa sokoni, they don't care about reliability issues and maintenance costs in the long run. They have way more cash to take care of that. Ila kwa mwananchi wa kawaida hata marekani ukifuatilia utaskia "i rather have a Lexus than a BMW." Why? "Because it spends more time on the road without issues"

Mjerumani ni trip moja shamba moja gereji na huna hakika kama itakupumzisha na zile taa za check engine. Mvua zimefululiza sana kaitie kwenye maji ya Jangwani BMW na IST kwa week tu halafu uone nani atahitaji diagnosis. Gharama itakuwa bei gani kubadili sensor zilizokufa kisha utaelewa kwa nini watu wanajazana kwenye Toyota.

Kitu nachoweza kushauri walau watu mnunue Luxury division ya Toyota (Lexus) you will atleast enjoy the same kind of excitement kama ya German autos japo itahitaji hela nyingi at first ila maintanance ni headache free. Hazisumbuagi.
Daah taa pale kwenye dashboard hua zinawaka waka kama mti wa x-maa vile mzee baba.
 
Watanzania wengi wanaomiliki au kutamani kumiliki gari sio watu wa adventure hasa maeneo ya porini,mashambani au hifadhini kama ukiwa mtu wa masafa hasa huko pembezoni kusiko na lami Toyota hafui dafu...kwa hiyo kama ni mtu wa adventure utatafuta gari imara za offroad....Mitsubishi ana DNA za offroad tangu zama! Pamoja na wenzie kv Suzuki's nk

Advantage ya Toyota ni unafuu wa spea tu na kulala mbele...ila ndio hazidumu + offroad Toyota hajiwezi ni kama scania vs Chinese versions za lorries kv Howo
Kama ni adventure huko ma-porini bora nichukue wrangler kuliko hio shogun.
 
Kila nikiangalia naona hawa wachina watakuja kushika soko la magari hapa TANZANIA kuna haya magari yanaitwa FOTON MOTORS yapo kama land cruisers(shangingi).
Wameanza kwa magari ya serikali kwa makamanda wa mikoa wote wamepewa haya magari.

Kama leo hii ukienda ubungo unakutana na mabasi ya mchina basi kuna miaka inakuja magar ya kijapan yatapotea nchini
View attachment 1081093
Wachina noma
 
Kama ni adventure huko ma-porini bora nichukue wrangler kuliko hio shogun.
Wrangler mbabe yes lakini mjini hanogi Shogun unakula lami na pori Wrangler ukija town ni kama umo kwenye tractor(land tilling machine)...sio mbaya lakini
 
Wakuu, mwaka huu nina ndoto ya kununua gari, mpaka sasa nina M 8 natarajia nifikishe M 12 by November ili niingie sokoni. Natamani sana gari hizi Tatu, AUDI A-3, MAZDA AXELA au VOLTS.
Naomba ushauri ni gari ipi itanifaa kwa budget hiyo
Chukua VOLTZ mazda mimba kwenye gear box
 
Hahahah hizo gari hapana, nikipata mpunga wa maana nakamata Lexus tu.
images.jpeg

Hebu cheki huyu mnyama mzee baba,,,thats LS350!!!

Very enough for me, ndani ni kama ndege mzee baba! Reliability sio ya kuuliza.
 
Matajiri wengi naona wanamiliki magari yeny body kubwa..
Vipi nikianza na subaru mkuu hata Nissan extrail
Subaru umehit penyewe ni gari nzuri kwa aina ya barabara zetu bongo na engine performance yake ni outstanding
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom